OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Medical examination on mental health
Mkuu, kisheria mtu huyu anakuwa kwenye insanity interval -epileptic fits. Huyu hata akitenda kosa kuna defence yake, kwa vile anahesabika hakutenda kwa kukunuia (hakuwa na mens rea). Lakini defence hii itahitaji kudhibitishwa, kwanza na mkosaji mwenyewe na vilevile wataalam wa afya ya akili, kwamba wakati kitendo kinafanyika mkosaji alikuwa hatambui anachokifanya, na anayo maradhi hayo.Habari wakuu,
Nilikuwa naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu mtu aliyefanya mauaji ya watu kazaa huku akiwa amepandisha mapepo,
Je atashtakiwa na kuhukumiwa kama wauaji wengine au atapewa excuse?
Chanzo ROMBO, KILIMANJARO: Apandisha 'mapepo' na kuwaua wenzie wawili wakibatizwa mtoni
Post sent using JamiiForums mobile app
so ameua bila kukusudia au..Mkuu, kisheria mtu huyu anakuwa kwenye insanity interval -epileptic fits. Huyu hata akitenda kosa kuna defence yake, kwa vile anahesabika hakutenda kwa kukunuia (hakuwa na mens rea). Lakini defence hii itahitaji kudhibitishwa, kwanza na mkosaji mwenyewe na vilevile wataalam wa afya ya akili, kwamba wakati kitendo kinafanyika mkosaji alikuwa hatambui anachokifanya, na anayo maradhi hayo.
so ameua bila kukusudia au..
Hajaua bila kukusudia. Kuua bila kukusudia ni jinai inayojitegemea. Hapa atadhibitika kuua, lakini mahakama haitamtia hatiani sababu alifanya kosa akiwa insaneso ameua bila kukusudia au..
anhaa..sawa mkuuHajaua bila kukusudia. Kuua bila kukusudia ni jinai inayojitegemea. Hapa atadhibitika kuua, lakini mahakama haitamtia hatiani sababu alifanya kosa akiwa insane
wewe wasemaMapepo kwenye medical examination hayaonekani.
Yaani, huyo ni keko au segerea au lile gereza là lema linamhusu sana
kama itathibitika aliua akiwa hana akili zake timamu ataachiwa huruNdyo anakosa afungwe tu au anyongwe
Sasa shida hayo sio maradhi ni mapepo, inamaan hata mtaalam wa afya hawez ku examine maan hana tatizo kisayansi lkn ki roho....na hamna defence ya mtu spiritual wise, insane will only stand when proved by medical tests, huyo sijui io defence wana iprove vipiMkuu, kisheria mtu huyu anakuwa kwenye insanity interval -epileptic fits. Huyu hata akitenda kosa kuna defence yake, kwa vile anahesabika hakutenda kwa kukunuia (hakuwa na mens rea). Lakini defence hii itahitaji kudhibitishwa, kwanza na mkosaji mwenyewe na vilevile wataalam wa afya ya akili, kwamba wakati kitendo kinafanyika mkosaji alikuwa hatambui anachokifanya, na anayo maradhi hayo.
Insane ni lazima iwe examined by medical tests ili ukatolewe ushahidi kuwa mtu ni insane.....sasa kmbuka mapepo ni ugonjwa hauwez onwa kwa vipimo vya kisayansi sasa hiyo defense haitoweza kuwa proved kimahakam maan hawaamini spiritual wiseHajaua bila kukusudia. Kuua bila kukusudia ni jinai inayojitegemea. Hapa atadhibitika kuua, lakini mahakama haitamtia hatiani sababu alifanya kosa akiwa insane
Na ndio maana itabidi wataalamu wa afya ya akili wathibitishe kuwa wakati tendo linafanyika mtuhumiwa hakuwa katika akili yake. Kinachoangaliwa hapa sio hayo mapepo, kinachoangaliwa ni state of mind.Sasa shida hayo sio maradhi ni mapepo, inamaan hata mtaalam wa afya hawez ku examine maan hana tatizo kisayansi lkn ki roho....na hamna defence ya mtu spiritual wise, insane will only stand when proved by medical tests, huyo sijui io defence wana iprove vipi
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
cheki post juu hapoInsane ni lazima iwe examined by medical tests ili ukatolewe ushahidi kuwa mtu ni insane.....sasa kmbuka mapepo ni ugonjwa hauwez onwa kwa vipimo vya kisayansi sasa hiyo defense haitoweza kuwa proved kimahakam maan hawaamini spiritual wise
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app