OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Habari wakuu,
Nilikuwa naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu mtu aliyefanya mauaji ya watu kazaa huku akiwa amepandisha mapepo,
Je atashtakiwa na kuhukumiwa kama wauaji wengine au atapewa excuse?
Chanzo ROMBO, KILIMANJARO: Apandisha 'mapepo' na kuwaua wenzie wawili wakibatizwa mtoni
Post sent using JamiiForums mobile app
Nilikuwa naomba ufafanuzi wa kisheria kuhusu mtu aliyefanya mauaji ya watu kazaa huku akiwa amepandisha mapepo,
Je atashtakiwa na kuhukumiwa kama wauaji wengine au atapewa excuse?
Chanzo ROMBO, KILIMANJARO: Apandisha 'mapepo' na kuwaua wenzie wawili wakibatizwa mtoni
Post sent using JamiiForums mobile app