Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.
"Mimi nina haki ya kufanya sanaa, serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi, watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji, nina haki zangu kama wengine"
"Mimi nina haki ya kufanya sanaa, serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi, watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji, nina haki zangu kama wengine"