Aliyevaa pempers Simba day amesema ana haki kufanya sanaa

Aliyevaa pempers Simba day amesema ana haki kufanya sanaa

Kwani alivaa pampas halafu akawa anaonesha sanaa gani??

Maana kuvaa pampas sidhani kama ni sanaa, alikua anafanya nini na hiyo pampas labda ndo udhalilishaji waliouona hapo.

Na kusema sio udhalilishaji kisa unatafuta pesa, pesa inatafutwa kwa namna nyingi, watu wanatweza utu wao (kina Mwijaku, Baba levo nk) ili tu wapate pesa.

Kama ni udhalilishajo au sivyo kila mtu anapima kwa jinsi yeye anavoona, kina joti wanavaa kama wanawake, wapo wanaosema wanajidhalilisha lakini wapo wanaoona ni sawa.
 
Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.

"Mimi nina haki ya kufanya sanaa ,serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi,watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji ,nina haki zangu kama wengine"
Wanaomtuhumu ndiyo wanamnyanyapaa mbona Haji Manara albino anakubali kushikwa manyonyo na mwanaume mwenzake hawamsemi? Hizi zote ni side effects za kibegi
 
Nimeitaza ile clip ya huyo jamaa akihojiwa wasafi, amejibu vizuri sana.
Hata hao wanaopigania haki hawawezi kupeleka mkate mezani kwake, hivyo kama trend watapata ila kuomba radhi NO.
 
Simba kama taasisi kubwa
Ilipaswa kupima maudhui ya hilo wanaloliita igizo
Kila kitu kilichofanyika pale kilikuwa ni jambo la simba
Mashabiki kukosa tiketi, mbona wanalaumiwa simba?
Halikuwa jambo zuri uungwana kukosea ni kuomba radhi
Manara alipokuwa simba alikuwa anatoa jezi na kubaki na kivesti akishangilia,je angevua kivesti ingekuwa kudhalilisha maalbino?
 
Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.

"Mimi nina haki ya kufanya sanaa ,serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi,watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji ,nina haki zangu kama wengine"
Mzee baba code zako zinahitajika kwenye jukwaa letu pendwa
 
Manara alipokuwa simba alikuwa anatoa jezi na kubaki na kivesti akishangilia,je angevua kivesti ingekuwa kudhalilisha maalbino?
Tamasha lilikuwa la simba sio kwamba mtu kuwa albino hawezi kudhalilisha albino
Hata kama ilikuwa hiari yake kuigiza simba kama taasisi ilitakiwa kupima maudhui

Manara pia anaweza kudhalilisha albino

Kama mwanaume kuwa shoga anavodhalilisha wanaume wote
 
Sijui baadhi ya watanzania wanapewa ajira kwa kuangalia vigezo gan. Kwamb hao wasomu wakuitwa watetez wahaki za binadam hawajui kuw kitendo cha kushabikiahilo tukio nakuliita udhalilishaj wao ndo wanafany ubaguzi? Kwamb kwa sheria zetu kuna kazi halali ambazo weny ulemavu flan wakitak kufany kw hiari yao inakuw udhalilishaj? Okay, tuseme kama ni sanaa kun vipengele flan ukiw mlemav hupaswi kuvichez kisa una ulemavu, huyu mtu akilalamika kwamb anabaguliw kweny masuala ya ajira nyie watetez mtakua na jambo gan la kumjib mlemav huyu ili aone nikawaida kutengwa?
Kinachosikitisha watu wenye degree zao ambao wameaminiw kuongoz taasis kama hizo zautetez wanashindw kutoa ufafanuz na elimu kw watu badala yake wanaitangazia jamii kuw kuwahusisha walemavu kweny maswala flani flani ni udhalilishaji.
Nyie ndo wabaguzi sas kam mlikuw hamjui.
Safari bado ni ndefu!
 
Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.

"Mimi nina haki ya kufanya sanaa ,serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi,watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji ,nina haki zangu kama wengine"
sikuona hiyo clip na siamini kama walimdhalilisha given the fact that alikuwa mtu mzima mwenye maamuzi ya kufanya chochote ndani ya sheria za nchi.
 
Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.

"Mimi nina haki ya kufanya sanaa ,serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi,watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji ,nina haki zangu kama wengine"
Sakata hili halimuhusu yeye bali linawahisu Simba kwa kutozingatia mavazi, mbona anajitetea bila ya kushutumiwa?
 
Hata Umbar Ruth aliliwa [emoji2539]kwa kutaka lkn serikali ili ingilia kati

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Amberuti ni special case mkuu ndo maana hata video zake zikitupiwa kwenye mitandao ya kujamii zinafungiwa,amberuti kaleta public mauno ya chumbani huwezi fananisha na hili
 
Sakata hili halimuhusu yeye bali linawahisu Simba kwa kutozingatia mavazi, mbona anajitetea bila ya kushutumiwa?
Kaitwa na chombo cha habari sasa kama ameulizwa asijibu?siyo kujitetea jamaa ameweka wazi
 
Back
Top Bottom