Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja sana nduguNipo mkuu nasomaga codes mle ila nipo sana
Bora muichukue milele na milele emee🤣Kwa akili hizi mnawezaje kuendesha bandari?
AsanteBora muichukue milele na milele emee🤣
🤣🤣 bosi unipe kibalua ya kukuchekeshaKwa akili hizi mnawezaje kuendesha bandari?
Weka account namba yako nikuwekee hela ya vocha kabla ya yote. Milioni 10 itatosha kifurushi cha wiki?🤣🤣 bosi unipe kibalua ya kukuchekesha
Na hili peleka FIFA na InterpolSimba walitaka ku POTRAY nini..?? Yan kwa tukio lile waitaka kuonesha nini..??
Kwanini chombo cha habari kimuite wakati si wasimamizi wa sheria, tujifunze kukataa kuwajibiu wasiohusika, wahusika hawakumlaumu yeye.Kaitwa na chombo cha habari sasa kama ameulizwa asijibu?siyo kujitetea jamaa ameweka wazi
Ulisikiliza na kuangalia ile press conference yao?Sakata hili halimuhusu yeye bali linawahisu Simba kwa kutozingatia mavazi, mbona anajitetea bila ya kushutumiwa?
Ila tuwe wakweli. Kumtumia mwanadamu mwenzako kama toilet paper, siyo poa hata kidogo.Akihojiwa na wasafi amesema anashangaa watu wa haki za binadamu wakilalamika kwa ule ni udhalilishaji.
"Mimi nina haki ya kufanya sanaa, serikali haina bajeti kunilisha mi natafuta na ninalipa kodi, watu wengine wangefanya nilichofanya wala wasingehoji, nina haki zangu kama wengine"
Sherehe yoyote lazima kuwe na burudaniIla tuwe wakweli. Kumtumia mwanadamu mwenzako kama toilet paper, siyo poa hata kidogo.
Halafu na nyinyi simba ifikie wakati muwaachie sasa hayo maigizo watoto wa kidato cha nne na cha sita kwa ajili ya mahafali yao. Yaani mijitu mizima na akili zenu, siku ya tamasha lenu mnafanya maigizo!!
Hata kama! Fanyeni burudani za kiutu uzima bhana kama wafanyavyo kaka zenu Yanga. Mambo ya maigizo, sarakasi, nk ni mambo ywanayofanya wanafunzi kwenye mahafali yao.Sherehe yoyote lazima kuwe na burudani
Mkuu burudani ina matawi mengi,huyu anapenda kuona sarakasi mwingine mziki,kuna watu wapo uwanjani mle kuanzia saa sita mchana hadi saa moja jioni kusubiri mpira,unadhani watakaaje humo ndani bila burudani wengine washapiga wanzuki na wengine wanaingia nazo mle mziki ukipigwa ndo amsha amsha yenyewe.Hata kama! Fanyeni burudani za kiutu uzima bhana kama wafanyavyo kaka zenu Yanga. Mambo ya maigizo, sarakasi, nk ni mambo ywanayofanya wanafunzi kwenye mahafali yao.
Nawapongeza kwa kuwa waanzilishi. Ila kwenye burudani, mnafeli sana. Kila mwaka msanii wenu tegemeo ni Tundaman! Msanii ambaye hata haeleweki huwa anaimba nini!! Hivi shida ni nini hasa?