Aliyewaambia watz kunywa supu na chapati mbili ndio huyo huyo aliyewaambia hivi.....

Aliyewaambia watz kunywa supu na chapati mbili ndio huyo huyo aliyewaambia hivi.....

Deejay nasmile

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2011
Posts
5,794
Reaction score
5,352
-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta makalioni
-vyombo vya udongo wanatumia wageni tu kulia chakula
-
-
-
-
 
Kwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
Aliyeanza kutumia neno Hello! kwenye simu ni mgunduzi wa simu mwenyewe Bwana Alexander Graham Bell. Yeye alisema Ahoy! ambayo ni English ya zamani sana, kuna mwanasayansi mjanja mjanja mwingine aliyekuwa hana akili za sayansi ila uhuni na wizi anaitwa Thomas Alva Edison ndio akapendekeza tuseme Hello! maana inatamkika kirahisi
 
Aliyeanza kutumia neno Hello! kwenye simu ni mgunduzi wa simu mwenyewe Bwana Alexander Graham Bell. Yeye alisema Ahoy! ambayo ni English ya zamani sana, kuna mwanasayansi mjanja mjanja mwingine aliyekuwa hana akili za sayansi ila uhuni na wizi anaitwa Thomas Alva Edison ndio akapendekeza tuseme Hello! maana inatamkika kirahisi
hahaha kumbe uhuni umeanza kitambo
 
Back
Top Bottom