Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Ndiyo huyohuyo aliyewaambia ubwabwa unapikwa jioni-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta makalioni
-vyombo vya udongo wanatumia wageni tu kulia chakula
-
-
-
-