Aliyewaambia watz kunywa supu na chapati mbili ndio huyo huyo aliyewaambia hivi.....

Aliyewaambia watz kunywa supu na chapati mbili ndio huyo huyo aliyewaambia hivi.....

-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta makalioni
-vyombo vya udongo wanatumia wageni tu kulia chakula
-
-
-
-
Ndiyo huyohuyo aliyewaambia ubwabwa unapikwa jioni
 
Kwenda kanisani na hela iliyo kwisha I change ni kutokana na uchumi wetu mdogo.
Sasa,uwezo wako kwa siku ni 5000 uende upeleke 5000 yote kanisani,tena kwa gwajima.Khaaa
Sadaka nazo zipo nyingi sana,Sadaka ya kawaida,Jengo.....etc Sasa inahitaji moyo wenzio bench zima wanainuka kutoa wewe umekausha,so ukiwa na buku 2 unaivunja vunja hata x4🤣🤣
 
Aliyeanza kutumia neno Hello! kwenye simu ni mgunduzi wa simu mwenyewe Bwana Alexander Graham Bell. Yeye alisema Ahoy! ambayo ni English ya zamani sana, kuna mwanasayansi mjanja mjanja mwingine aliyekuwa hana akili za sayansi ila uhuni na wizi anaitwa Thomas Alva Edison ndio akapendekeza tuseme Hello! maana inatamkika kirahisi
Wakuu mkuje muone Thomas Edison anavunjiwa heshima na kijana wa buza alieshiba maparachichi yake
 
Ndiyo huyo huyo aliyewaambia: "Nyama na Matunda, yanaliwa mwishoni mwa mlo na sio mwanzo wala katikati."
 
Kwenye kupakaa mafuta kwenye makalio kwa mwanaume binafsi huwa naona hiyo ni ishu sensitive na siwezi fanya hiyo kitu.

Kugusa tu nagusa kwa sababu maalumu kama vile wakati wa kuoga and after relieving myself.

Kwanza mtu unapakaa mafuta yawe malaini ili iweje[emoji848][emoji848][emoji848][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom