Hallow Joanah
Halafu mimi sipendi, mtu ana namba yako anajua kabisa anayepiga ni mtu fulani hiyo haloo ya nini sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mimi sipendi, mtu ana namba yako anajua kabisa anayepiga ni mtu fulani hiyo haloo ya nini sasa
Si umkoti mwenyewe sasaHallow Joanah
Mbna mm huwa napendelea kulala ukutaniKwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
Na mm nilaish na hyo fomula ya chapat mbili-Ukimaliza kuoga kama maji yamebaki unajimwagia miguuni
-ukienda kanisani kutoa sadaka unaomba chenji kabisa hukohuko ulipotoka
-kuwa ijumaa ni siku ya biriani
-kuwa mwanaume hapaki mafuta makalioni
-vyombo vya udongo wanatumia wageni tu kulia chakula
-
-
-
-
imani huamisha milimahuwezi jua..unaslweza kutoa 5000 sadaka..unatoka nje baada ya misa unaokota 10000
hahahahaUkitaka kukojoa tafuta sehem yenye kichaka kojoa..