Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
huwezi jua..unaslweza kutoa 5000 sadaka..unatoka nje baada ya misa unaokota 10000Kwenda kanisani na hela iliyo kwisha I change ni kutokana na uchumi wetu mdogo.
Sasa,uwezo wako kwa siku ni 5000 uende upeleke 5000 yote kanisani,tena kwa gwajima.Khaaa
Mwanamke si lazima alindwe,Mwanaume lazima kulala uelekeo wa Mlango kukabiliana na chochote.Kwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
ndio huyo huyo aliyesema pia wanaume wawe wanalipa bili yote bar.Kwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
hahaha kwani mwanaume hafiMwanamke si lazima alindwe,Mwanaume lazima kulala uelekeo wa Mlango kukabiliana na chochote.
Sio lazima kusema haloo ukipokea simuKwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
Hivi hii inakuwaje aisee?Kwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
Aliyeanza kutumia neno Hello! kwenye simu ni mgunduzi wa simu mwenyewe Bwana Alexander Graham Bell. Yeye alisema Ahoy! ambayo ni English ya zamani sana, kuna mwanasayansi mjanja mjanja mwingine aliyekuwa hana akili za sayansi ila uhuni na wizi anaitwa Thomas Alva Edison ndio akapendekeza tuseme Hello! maana inatamkika kirahisiKwani nani aliyesema kuwa mwanamke lazima alale ukutani nani? Au aliyesema ukipiga simu au kupokea lazima uanze na neno la haloo!
Usipookota utalisha familia yako mawe?huwezi jua..unaslweza kutoa 5000 sadaka..unatoka nje baada ya misa unaokota 10000
itakuwa wakishua ww...watoto wa jacuzz1,2,4 na 5 ndio nayasoma leo hapa
hahaha kumbe uhuni umeanza kitamboAliyeanza kutumia neno Hello! kwenye simu ni mgunduzi wa simu mwenyewe Bwana Alexander Graham Bell. Yeye alisema Ahoy! ambayo ni English ya zamani sana, kuna mwanasayansi mjanja mjanja mwingine aliyekuwa hana akili za sayansi ila uhuni na wizi anaitwa Thomas Alva Edison ndio akapendekeza tuseme Hello! maana inatamkika kirahisi
ndo huyo huyo aliyesema watoto wawe wananunuliwa nguo mpya siku za sikukuu... na baada ya hapo zivaliwe kwenye ibada na safarini tuNdo uyo uyo...