GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Halafu tukiwa tunawasema hapa hapa kuwa Yanga SC kuna 'matatizo' makubwa hasa kupitia Viongozi wake na Wafadhili huwa mnadhani GENTAMYCINE kwakuwa ni Simba SC basi nakuwa nawaonea na Kuwaandama wakati kumbe nyuma ya Pazia mngekuwa mnapokea tu 'Ushauri' wangu leo mngefaidika nao na hata kuwa mbali tu Kimpira na Kimaendeleo vile vile.
Hivi inaingia 'Akilini' kweli Yanga SC 'imesajili' Wachezaji wakubwa wa Kigeni tena kwa Gharama kubwa mno halafu hawashiriki pia tena Kimataifa.
Hivi inaingia 'Akilini' kweli Yanga SC 'imesajili' Wachezaji wakubwa wa Kigeni tena kwa Gharama kubwa mno halafu hawashiriki pia tena Kimataifa.