Aliyewahi kukutana na biashara hii, ni ya kweli au utapeli?

Aliyewahi kukutana na biashara hii, ni ya kweli au utapeli?

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Wakuu kwema?

Kuna jamaa yangu aliniambia kuhusu ku trade instruments(mfano gold, oil, bitcoins, stocks, currency) kama inavyokuwa kwenye forex, ila hii inafanyika kwenye platform inayoitwa MTFE.

Kwenye hii kitu kuna group lao, mtu anawatumia signal ya ku buy au ku sell na wao wanafanya tu na wanaingiza pesa ndefu tu maana mara nyingi signal ni sahihi.

Lakini instrument wanayo trade sana ni ECI. Hii ECI sijawahi kuiona popote kama ilivyo instruments nyingine kama gold, oil, na currency mbalimbali ambazo unaziona kwenye MT4 ya forex, na hili likanifanya nikawa na wasiwasi isijekuwa ni scam.

Vipi, kuna ambao wanaijua hii MTFE na hii ECI?
 
Wakuu kwema? Kuna jamaa yangu aliniambia kuhusu ku trade instruments (mfano gold, oil, bitcoins, stocks, currency) kama inavyokuwa kwenye forex ila hii inafanyika kwenye platform inayoitwa MTFE

Kwenye hii kitu kuna group lao mtu anawatumia signal ya ku buy au ku sell na wao wanafanya tu na wanaingiza pesa ndefu tu maana mara nyingi signal ni sahihi

Lakini instrument wanayo trade sana ni ECI, hii ECI sijawahi kuiona popote kama ilivyo instruments nyingine kama gold, oil, na currency mbalimbali ambazo unaziona kwenye MT4 ya forex, na hii ikanifanya nikawa na wasiwasi isijekuwa ni scam

Vip kuna ambao wanaijua hii MTFE na hii ECI??
Google na youtube itakupa majibu yasiyopinda ingia humo
 
Wakuu kwema? Kuna jamaa yangu aliniambia kuhusu ku trade instruments(mfano gold, oil, bitcoins, stocks, currency) kama inavyokuwa kwenye forex, ila hii inafanyika kwenye platform inayoitwa MTFE.

Kwenye hii kitu kuna group lao, mtu anawatumia signal ya ku buy au ku sell na wao wanafanya tu na wanaingiza pesa ndefu tu maana mara nyingi signal ni sahihi.

Lakini instrument wanayo trade sana ni ECI. Hii ECI sijawahi kuiona popote kama ilivyo instruments nyingine kama gold, oil, na currency mbalimbali ambazo unaziona kwenye MT4 ya forex, na hili likanifanya nikawa na wasiwasi isijekuwa ni scam.

Vipi, kuna ambao wanaijua hii MTFE na hii ECI?
Mwambie atrade yeye hadi awe Bilionea halafu aje akuajiri kwenye Kampuni atakayoianzisha.

Chonde chonde ulete mrejesho hapa wa jibu atakalokupa
 
Ngoja niwape njia fupi na yenye tija kuepukana na haya mambo.

Mtu anakuja kwako anakushawishi kwa nguvu zote kwamba kuna biashara au jambo fulani linalipa sana, analipamba na kulitetea kwa nguvu zote.

Usiteseke mwambie tu kwa ufupi akukopeshe fedha ili uingie kwenye hiyo fursa😂
Usumbufu utaishia hapo.
 
Kama hauna uvumilivu usiingie kwenye biashay ya kutrade mtandaoni utapukutika
 
Kuna jamaa angu alkua anatamanshwa ivyo ivyo ku trade ikafka kpnd anaenda kutoa 1m 2m akiambiwa weka 2.5m upate 4m kwa mwez anaweka akanogewa akaenda crdb akavuta 5m mkopo kuptia mshara akazizamisha umo wik ikakata skuio aljiunga bando zaid ya ten kila akiitafuta site online holaà page haionekan danlod browser zote mzgo haupo online ndio akawa kapgwa kwa stail iyo we unaweka hela online hata ofc hardcopy ujui zlpo kwel uko tmamu kwel
 
Wakuu kwema?

Kuna jamaa yangu aliniambia kuhusu ku trade instruments(mfano gold, oil, bitcoins, stocks, currency) kama inavyokuwa kwenye forex, ila hii inafanyika kwenye platform inayoitwa MTFE.

Kwenye hii kitu kuna group lao, mtu anawatumia signal ya ku buy au ku sell na wao wanafanya tu na wanaingiza pesa ndefu tu maana mara nyingi signal ni sahihi.

Lakini instrument wanayo trade sana ni ECI. Hii ECI sijawahi kuiona popote kama ilivyo instruments nyingine kama gold, oil, na currency mbalimbali ambazo unaziona kwenye MT4 ya forex, na hili likanifanya nikawa na wasiwasi isijekuwa ni scam.

Vipi, kuna ambao wanaijua hii MTFE na hii ECI?
 

Attachments

  • Screenshot_20220830-193617.jpg
    Screenshot_20220830-193617.jpg
    77.3 KB · Views: 98
  • Screenshot_20220830-193624.jpg
    Screenshot_20220830-193624.jpg
    93.5 KB · Views: 126
Ngoja niwape njia fupi na yenye tija kuepukana na haya mambo.

Mtu anakuja kwako anakushawishi kwa nguvu zote kwamba kuna biashara au jambo fulani linalipa sana, analipamba na kulitetea kwa nguvu zote.

Usiteseke mwambie tu kwa ufupi akukopeshe fedha ili uingie kwenye hiyo fursa😂
Usumbufu utaishia hapo.
Kuwa akukopeshe ili muingie ,duu yani mpaka mbavu zinataka kuvunjika. Kuna mwingine aliambiwa kuwa achukue hela dukani wafuate mzigo Kuna hela Sasa jamaa akamwambia kuwa ngoja kwanza twende ili namie nione kwanza unavyopiga hela jamaa akasepa
 
Wewe mdau kwa maana una trade kwenye hiyo platform?
Na trade kwenye Platform nyingine, ila baada ya kusoma Thread ya mdau, ikabidi niende kuhakiki Uhalali wa hii Platform ambayo mdau kaileza!

Coz hata Platform ambayo na Trade pia nilifanya Uhakiki kabla.
 
Back
Top Bottom