mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anatoa ahadi kutekeleza hawezAdmin piga bann ya mwaka hii beberu haiwezekani ikimbie uzi na ahadi iliyo toa kizembe namna hii
Toa mln 1 hiyooooKama kuna yoyote aliyewahi kumuona Lil Ommy akiwa na nguo ya mikono mifupi. Anicheki nna zawadi yake ya sh million moja.
View attachment 2049711
Jamaa muongo Tu na kaukimbia Uzi[emoji23][emoji1787]Akupe mln 1 sasa aache blh blh
Ova
Nakataa, mtoa mada sio mwanaumeUnataka uchungulie nini kwa mwanaume mwenzio?
sinza pazuri Fanya huo mpunga uingie [emoji23][emoji1787]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] kumbe yuko dsm likizoAchaneni naye bana mtu mwenyew ndo katoka mashambani kaja Dar likizo.
Mkuu nipo lindo crdb leo usinisahau ata ganja ya buku 5 na rizla utanipitishia paleLeta mpunga
HeheheheHuyu bwana mdogo anajikutaga mjuaji na mtoto wa mjini ...ila ana ufala mwingi sana ....kaulizia mikono kaonyeshwa anakimbia ...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Atowe angalau 100000 au 50000 ampe jamaaHuyu bwana mdogo anajikutaga mjuaji na mtoto wa mjini ...ila ana ufala mwingi sana ....kaulizia mikono kaonyeshwa anakimbia ...[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Tena atume haraka sanasana kabla hatujamfata huko alikoAtume fasta kabla weekend haijaisha
Hana uwezo huo ....maisha yake n ya kidananda ndo maana anajikuta Familia nzima ya WCB anaijua.Atowe angalau 100000 au 50000 ampe jamaa
Ova