TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

Informer

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,606
Reaction score
6,672
933caf08-9268-4d6e-9254-736a48a7c073.jpg


Askofu Joseph R. Mlola, ALCP/OSS, wa Jimbo Katoliki Kigoma anasikitika kuwajulisha kuwa ndugu yetu Padre Raymond Saba, ameitika sauti ya Mungu kutoka dunia hii leo kama saa mbili kasoro dakika ishirini hivi usiku.

Kama tulivyowajulisha, alikuwa akipatiwa Matibabu katika hospitali ya Rabininsia.

Tuzidi kuiombea roho yake pumziko la milele kwa Mungu.

Tuwaombee wazazi na jamaa zake wote. Tushikane mkono katika kipindi hiki kigumu kwa kuombeana.

Taarifa nyingine tutajulishwa baadaye.

Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina.

Fr Evarist Guzuye Chancellor
Kigoma, 3 Agosti 2021

NOTE: Huyu ndiye alikuwa Katibu Mkuu wa TEC aliyenyang'anywa pasipoti baada ya kupata msukosuko kufuatia waraka wa Kwaresima mwaka 2018.
 
Pokeeni kwa Imani Jambo hili

Wapendwa Taifa la Mungu Jimboni Kigoma, Mh. Baba Askofu Joseph R. Mlola, ALCP/OSS, wa Jimbo Katoliki Kigoma, anasikitika kuwajulisha kuwa ndugu yetu Padre Raymond Saba, ameitika sauti ya Mungu kutoka dunia hii leo kama saa mbili kasoro dakika ishirini hivi usiku.

Kama tulivyowajulisha, alikuwa akipatiwa Matibabu katika hospitali ya Rabinitsia.

Tuzidi kuiombea roho yake pumziko la milele kwa Mungu.

Tuwaombee wazazi na jamaa zake wote. Tushikane mkono katika kipindi hiki kigumu kwa kuombeana.

Taarifa nyingine tutajulishwa baadaye.

Raha ya milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie. Apumzike kwa amani. Amina.

Fr Evarist Guzuye Chancellor
Kigoma, 3 Agosti 2021
Saa 21:45.
 
Ni yule aliekua katibu wa baraza la maaskofu katoliki Tanzania TEC.
Alinyang’anywa passport na shetani Magufuli aka Mwendazake.
Nenda Baba kaongeze mkaa juu ya Jiwe.
Mkuu sijakusikia ebu ongeza sauti umesema shetani nani?
 
Mungu amrehemu apumzike kwa amani,yeye katangulia ni suala la muda tu wote safari ni moja!
 
Nimeumia mno! Baba lala [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
R.I.P Padre. Ninaamini umeshakutana na yule mtesi wako baada ya tukio la ule waraka wa Kwaresma. Sijui Passport walikurudishia au ndiyo uliwaachia. Msamehe tu huko Motoni aliko kunamtosha kabisa.
Ha ha ha
 
Rabbinisia hii kitu ambayo usiku imekaa meli ya Santolin ni ngome ya Delta force 3.
 
Back
Top Bottom