Wewe Dini yako nani alikuakikishia niyakweli?akapate anachostahili…
إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ وَمَاتُوا۟ وَهُمْ كُفَّارٌ أُو۟لَٰٓئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ ٱللَّهِ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجْمَعِينَ
Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.
Kuliko za wenzako?
Malaika wa Bwana alikushukia na kukuambia kuwa yako ni yakweli kuliko za wenzako?
Kama unaamini maandiko yakitabu chako yanayokuambia yako ndio ya ukweli baki nayo yako kwa kuwa kitabu chako hakijakuambia uwatukane wengine
Kuwa na Nidhamu