TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

akapate anachostahili…
إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ وَمَاتُوا۟ وَهُمْ كُفَّارٌ أُو۟لَٰٓئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ ٱللَّهِ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجْمَعِينَ

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.
Wewe Dini yako nani alikuakikishia niyakweli?
Kuliko za wenzako?
Malaika wa Bwana alikushukia na kukuambia kuwa yako ni yakweli kuliko za wenzako?
Kama unaamini maandiko yakitabu chako yanayokuambia yako ndio ya ukweli baki nayo yako kwa kuwa kitabu chako hakijakuambia uwatukane wengine
Kuwa na Nidhamu
 
Kwenye mihadhara ya dini uislamu na ukristo. Habibu othman mazinge, kiboko ya watumishi/wachungaji na mapadri. Aise uyu mbaba wanamhara, biblia yote ipo kichwani, anaijua na kuichambua.

Part 1


Part 2



Naongeza ya ziada
Anaijua Biblia na kuichambua Biblia akiongozwa na Roho Mtakatifu au na akili zake tu?
 
Hamna kitu apo [emoji23][emoji23][emoji23] kwanza wanaitafsiri maana tofauti bible.

Hebu msikilize adi mwisho profesa mazinge
Part 1


Part 2








Huyo kijana/mwandishi anaemuliza mazinge maswali ni mkristo.
Kuna Mkristo mwenye akili timamu kama akina Fr Mbiku (RIP) anayeweza enda kwenye mijadala ya kubishana na hao akina Mazige?
 
Usiongee usichokijua mkuu,, namba za mazinge amezitaja humo kwenye clip. Swali lolote ndani ya biblia waweza muliza na atakujibu bila kufunua.

Naomba pia upitie clip zake na masheikh wengine ndani ya debate
Biblia Ni Nini?
 
Kuna Mkristo mwenye akili timamu kama akina Fr Mbiku (RIP) anayeweza enda kwenye mijadala ya kubishana na hao akina Mazige?

Huyo Fr cha mtoto sana kwa Mazinge, acheni kumpamba. Uwezo huo wa kupambana na mazinge hana . Ndio mana serikali kama sikosei ya jpm walipiga marufuku midahalo maana waliona hali ni tete upande wa pili wasio waislamu wanasilimu na kuingia kwenyi uisilamu.
 
Huyo Fr cha mtoto sana kwa Mazinge, acheni kumpamba. Uwezo huo wa kupambana na mazinge hana . Ndio mana serikali kama sikosei ya jpm walipiga marufuku midahalo maana waliona hali ni tete upande wa pili wasio waislamu wanasilimu na kuingia kwenyi uisilamu.
Khaaaaaa
 
Huyu mwamba ana nafasi yake Mbinguni alimtuliza JPM kama wiki hivi kwa warake wake wakupinga ukanyangwaji wa haki za binadamu Tanzania! Atakumbukwa kwa hilo,RIP
 
Wewe Dini yako nani alikuakikishia niyakweli?
Kuliko za wenzako?
Malaika wa Bwana alikushukia na kukuambia kuwa yako ni yakweli kuliko za wenzako?
Kama unaamini maandiko yakitabu chako yanayokuambia yako ndio ya ukweli baki nayo yako kwa kuwa kitabu chako hakijakuambia uwatukane wengine
Kuwa na Nidhamu
wewe wacha kuropoka ropoka !
kuna sehemu unaona nimetukana mtu mimi ?

kusema akapate anachistahili ndio tusi ?
 
Umepata dhambi kubwa ndugu Ingawa maneno ni ya kweli kwa sababu umesababisha maneno ya Allah watu wayatkane omba msamaha na utubie
yaani atukane mwingine niombe msamaha mimi ?

acha utani wewe
 
Imani yako isiwe sababu ya kuona wengine hawako sawa. Upo huru kusema chochote lakini heshimu hisia za watu hasa kwenye msiba. Mwenda zake alikuwa mtu mwema na aliyefundisha sana juu ya upendo kwa Mungu na jirani. Sidhani kama dini yako inafundisha tofauti na hivo viwili ukichukulia kiujumla mafundisho yake.
sasa hapo nilichokosea ni kusema akapate anachostahiri ama ?
 
Back
Top Bottom