TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

TANZIA Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa TEC, Padre Raymond Saba afariki dunia

M

Misa ya Kiingereza ataweza? Mazinge. Plus content ya mwaka mzima. Mazinge anawezaorganise shule, hospital zijengwe?
Hahaaa.. ubongo WA mazinge unawaza kuoa na kubishana Yesi sio Mungu nje ya hapo hata kanzu sijui anabadilisha
 
Ndugu Waktistu wenzangu naomba sana tuachane na kina Mazinge though wanatupa Changamoto.
 
M

Misa ya Kiingereza ataweza? Mazinge. Plus content ya mwaka mzima. Mazinge anawezaorganise shule, hospital zijengwe?

Wewe unaongelea kiingereza, kiingereza kitu gani hata wa std7 anakiongea. wakati mwenzio ameihifazi all bible's kuliko hata mchungaji, padri/mkristo mwenyewe! Na anasilimisha maelufu ya wakristo kuingia kwenye uisilamu! Kama huamini ingia utazame clip zake uone wachungaji wanavyotia huruma, wengine wanaogopa ata kukutananae.
 
Mkuu mambo ya mjadala wa dini hii ni bora kuliko ile huwa sifuatiliagi. Why? Kila mmoja huwa anavutia upande wake na kwa kuwa mwanadamu Si mkamilifu Na siku zote Huwa anavuta/shawishi kwenye kile anachoakiamini yeye then ni bora nimwamini Mungu wangu kwa ule upeo wa akili yangu. Kila dini ina la kuhoji na Ku- criticizes just according to your understanding.

Mkuu, kwanza kabisa nikupe pole. Naomba umfuatilie Sheikh Mazinge na masheikh wengine kwenye mihadhara ya dini baina ya waislamu na wakristo, pia naomba ufuatilie youtube mihadhara yao, maelfu ya makafiri wamesilimu, tena kwa ridhaa yao na sio kwa kulazimishwa, baada ya kujua ukweli wenyewe.
 
Mkuu, kwanza kabisa nikupe pole. Naomba umfuatilie Sheikh Mazinge na masheikh wengine kwenye mihadhara ya dini baina ya waislamu na wakristo, pia naomba ufuatilie youtube mihadhara yao, maelfu ya makafiri wamesilimu, tena kwa ridhaa yao na sio kwa kulazimishwa, baada ya kujua ukweli wenyewe. Huyu nae Mungu amuonyeshe njia aijue haki Kiranga
Mkuu,

Kutaja jina la Kiranga bila sababu muhimu faini ni $100 siku hizi.

Nakusamehe leo kwa sababu nakujulisha kwa mara ya kwanza.

Ukirudia kutakuwa na kesi kubwa hapa.
 
Mkuu,

Kutaja jina la Kiranga bila sababu muhimu faini ni $100 siku hizi.

Nakusamehe leo kwa sababu nakujulisha kwa mara ya kwanza.

Ukirudia kutakuwa na kesi kubwa hapa.

Mkuu nisamehe aise,, kwema lakini?
 
huko jamuhur ya watu wa twitter wanasubili mkeka utiki[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_2021-08-04_130814.jpg
 
Mwaka huu tumepoteza walimu 2 wazuri wa Biblia, Fr Mbiku wa pale UDSM na Fr Raymond. Kwangu mimi hawa wataendelea kudumu kama walimu bora kabisa wa neno la Mungu na ambao hutamani muda wa mahubiri uishe. Kweli dunia tunapita na siku zetu za kuwa hapa ni chache sana. Na aheri mwenye mwisho mwema kwa maana ataishi milele kwenye furaha na faraja.
Mwenyezi Mungu atufundishe kuzihesabu siku zetu.
Kweli kabisa.kanisa tumepoteza walimu nguli...mahubiri yao na mfundisho tutayaenzi daima.Fr Mbiku tulikuwa chuo tunamuita engine,aliishi biblia na aliielewa sana alikuwa anasimamia ukweli,straight forward man.
Wapumzike kwa amani

Sent from my V1818A using JamiiForums mobile app
 
akapate anachostahili…
إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ وَمَاتُوا۟ وَهُمْ كُفَّارٌ أُو۟لَٰٓئِكَ عَلَيْهِمْ لَعْنَةُ ٱللَّهِ وَٱلْمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجْمَعِينَ

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote.
Umepata dhambi kubwa ndugu Ingawa maneno ni ya kweli kwa sababu umesababisha maneno ya Allah watu wayatkane omba msamaha na utubie
 
Huu mwaka umekuwa wa ajabu daaah! Ardhi inameza Watu bila huruma, ikawe heri upate pumziko la amani Fr. Raymond Saba ; ulale katika udongo mzuri!
 
Mkuu, kwanza kabisa nikupe pole. Naomba umfuatilie Sheikh Mazinge na masheikh wengine kwenye mihadhara ya dini baina ya waislamu na wakristo, pia naomba ufuatilie youtube mihadhara yao, maelfu ya makafiri wamesilimu, tena kwa ridhaa yao na sio kwa kulazimishwa, baada ya kujua ukweli wenyewe.

Najiuliza tu. Unamaanisha Nini kuwa anaweza kuichambua biblia Takatifu. Unaisoma biblia kama novel au kitabu kilichofunuliwa na Mungu kupitia watu Wake kwa ajili ya wokovu wao.

Huko kuchambua anakuwa anataka kuachive Nini? Yeye Ni shekhe au. Amemaliza kuchambua linalomhusu Kitabu chenu kitakatifu kilichoanza kupitia ufunuo wa Mungu kupitia malaika Gabriel kwenda kwa MSWA 610 AD.

Nachofahamu Ukiona mtu awe Mkristo anashambulia uislamu or Mwislamu anashambulia au kuchambua yasiyowahusu ujue ameshindwa vibaya. Hana malengo yake binafsi wala ya ujumla. Mana swala la imani ndo huongoza kwenye uhusiano wa mwanadamu na Mungu. Kitabu kitakatifu cha waislamu husaidia kuwaimarisha imani nk ya waislamu. Mana Hapo ndo point of arrival and point of departure.

Hivyo Pia kwa wakristo. Imani kwa Yesu Kristo mwana wa Mungu. Biblia husaidia kuimarisha imani. Kureiebisha Nk.

Najua huku ulaya mapadre wanasoma sana kuhusu dini nyingine. Wanakwenda huko Jordan, misri nk. Lakini kwa ajili ya Elimu kuja kuwafundisha wanafunzi wa upadre kuhusu historia na uwepo wa dini Zingine na namna ya kuishi kwa kuheshimu dini za wengine.

Na hao siku wakitoa mihadhara ya kushambulia watakuwa wajinga sana na wataonekana wameshindwa kujua Kwanini wamekuwa watumishi wa Mungu.

Inawezekana wewe unavuta Bangi, Lakini kama nzima huwezi andika ujinga huo. Eti anachambua biblia ipi na ili iweje. Bila imani Hakuna awezaye kumpendeza Mungu.
 
Inawezekana wewe unavuta Bangi, Lakini kama nzima huwezi andika ujinga huo. Eti anachambua biblia ipi na ili iweje. Bila imani Hakuna awezaye kumpendeza Mungu.

Usiongee usichokijua mkuu,, namba za mazinge amezitaja humo kwenye clip. Swali lolote ndani ya biblia waweza muliza na atakujibu bila kufunua.

Naomba pia upitie clip zake na masheikh wengine ndani ya debate
 
Back
Top Bottom