Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
We belong to GOD and to him we return. Shikamoo mkuu.إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We belong to GOD and to him we return. Shikamoo mkuu.إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Inna lillah wa inna illah rajuunإِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Mkuu hujamuelewaNahisi Iringa.
Niliwahi kumsikia nikiwa mdogo ila
alale pema peponi. Ameni
Kuishi ni Kristo,kufa ni faida.Kufa ni faida kuishi ni kristo
Huyu alikua Mbeya mara ya mwishoNdio yule mkuu Wa mkoa Mara take ya mwisho katumbuliwa Dodoma? Kisa amekua? Kama ndio yeye atakuwa alpata inside pressure tu maana haya maisha ukizoea vzr afu suddenly ukastopishwa kama hukujpanga basi ttzo dogo tu linakusukma
Natanguliza samahan kama sio yy aliekuwa mkuu Wa mkoa Wa Dodoma forgive me pls
Umaarufu Wa makonda ni wizi Wa cheti na utekajiBaada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Baadhi huuliza hili swali mgonjwa anapofariki ila umuhimu wake sijapata kuuelewa bado.Alikua anasumbuliwa na nin?
Kweli kabisa, aliyekuja baada yake kutoka Arusha nadhani Mulongo,akavuruga na kuondolewa kwa aibu.Dah RIP mkuu wetu.nilipenda uongozi wake huku kwetu mwanza.
Kufa ni faida kuishi ni kristo
Makonda positive umaarufu au negative umaarufu?Baada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Ulivomtaja Kijuu wa kagera umenifanya niamini unachosema licha ya kuwa hao wengine siwafahamu kwa undaniTangu nimeanza kujielewa na kufuatilia mambo mbalimbali ya kidunia, huyu ni kati ya wachache ambao kwa maoni yangu wamehudumu nafasi hiyo kiasi kwamba unaweza kujustify uwepo wa nafasi ya mkuu wa mkoa. Busara mingi, very charismatic.
Wengine ni:
Parseko Kone
Steven Mashishanga
Phillip Mangula
Tarimo
Meja Balele
Eng. J. Nsekela
Mkuu wa mkoa wa sasa wa Kagera.
Na Godfrey wa Lindi anaelekea elekea.
Uongozi unaonekana machoni mwao hata kabla hawajaongea. Wamebarikiwa busara sana.
Apumzike kwa Amani Abbas Kandoro.