TANZIA Aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbalimbali nchini, Abass Kandoro afariki dunia Hospitali ya Taifa, Muhimbili

TANZIA Aliyewahi kuwa mkuu wa mikoa mbalimbali nchini, Abass Kandoro afariki dunia Hospitali ya Taifa, Muhimbili

Innah lilah waina ilaih Rajiun.. Comrade Kandaro alivunja vichochoro vyote Dar ambavyo vilikua vimefungwa kwa flem, nakumbuka uhuru na msimbazi kulikua na vibanda vya biashara hakafumua vyote
 
Ndio yule mkuu Wa mkoa Mara take ya mwisho katumbuliwa Dodoma? Kisa amekua? Kama ndio yeye atakuwa alpata inside pressure tu maana haya maisha ukizoea vzr afu suddenly ukastopishwa kama hukujpanga basi ttzo dogo tu linakusukma
Natanguliza samahan kama sio yy aliekuwa mkuu Wa mkoa Wa Dodoma forgive me pls
Huyu alikua Mbeya mara ya mwisho
 
Alikua mkuu wa mkoa wa Tabora. Dsm na Mby sio Klm
 
Poleni sana Familia. Rafiki yangu tumechapa naye kazi tukiwa Wakurugenzi wote. Yeye akiwa Iringa Vijijini. Alikuwa mtu mwema sana. RIP Mzee Kandoro.
 
Baada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni


Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Makonda positive umaarufu au negative umaarufu?
 
Tangu nimeanza kujielewa na kufuatilia mambo mbalimbali ya kidunia, huyu ni kati ya wachache ambao kwa maoni yangu wamehudumu nafasi hiyo kiasi kwamba unaweza kujustify uwepo wa nafasi ya mkuu wa mkoa. Busara mingi, very charismatic.
Wengine ni:
Parseko Kone
Steven Mashishanga
Phillip Mangula
Tarimo
Meja Balele
Eng. J. Nsekela
Mkuu wa mkoa wa sasa wa Kagera.
Na Godfrey wa Lindi anaelekea elekea.
Uongozi unaonekana machoni mwao hata kabla hawajaongea. Wamebarikiwa busara sana.
Apumzike kwa Amani Abbas Kandoro.
Ulivomtaja Kijuu wa kagera umenifanya niamini unachosema licha ya kuwa hao wengine siwafahamu kwa undani
 
Back
Top Bottom