Revolution
JF-Expert Member
- Feb 28, 2008
- 960
- 927
Ukiona hivyo ujiandae muda wako unakaribiaWatu mbona wanakufa mno sikuizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo ujiandae muda wako unakaribiaWatu mbona wanakufa mno sikuizi
Dah... Kumbe ndiyo asili Yake?....dahJamani RC wetu aliyefanya mpaka maji ya vipacket kuitwa Kandoro
Makavu mtapewa na sote tutaliwa na udongoSalamu kwa bwana yule wa Dar , kila mtu ni nyama ya aridhi tupunguze kujiona na kunyanyasa wengine.
ni siri yake na dr wake ,kidogo next of kin wakeAlikua anasumbuliwa na nin?
Bashite ana umaarufu gani?! Labda wa kuiba vyetiBaada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Yuko sahihi.kufa ni faida na kuishi ni kristo.kama alikuwa mtenda mema kufa kwake ni faida kubwa sana.kwa sababu kavumilia kwa mda mrefu kutofanya dhambi.kwahiyo kapunguza siku za kutenda dhambi na kama alitenda mema basi ameenda akiwa mtakatifu kuliko angebaki huku majaribu ya Hapa na hapa angejikuta kafanya dhambi kulingana na majaribu.Unaongea ni wewe ?
Alipokuwa Mwanza km mkuu wa mkoa siku moja akasikia kuna masheikhe wanahubiri uislam akaagiza wakamatwe wapelekwe ofisini kwake.Kandoro alianza mahojiano na mashekhe...kwa nini mnahubir ktk mkoa wangu?sheikhe akamjibu allah ndiyo mwenye eneo la dunia yote.Akauliza tena jivi mnafikiri huyo allah wenu yupooo?masheikhe walihamaki kwa hasira na kumwambia tizama ww mwanaadamu tena ukiwa ni muislam unamdhihaki allah..wako wap watu wenye nguvu na mali km Firauni?angalia uzima usikudanganye nn utafanya ukiwa ndani ya kabri? Mkuu wa mkoa alinyamaza kimya kisha wakamuona machozi yakimtoka kwa upole akasema masheikhe mniwie radhi nimejikuta tuu naropoka hivi.Akatoa kibali kwa masheikhe na wakahubiri neno la mungu.Pumzika kwa amani na allah akupe kauli thabitBaada ya Makonda Huyu Kandoro ndio RC
Maarufu zaid katika Miaka ya karibuni
Allah amsamehe Makosa yake Na AMPE Kauli thaabet huko aliko
Alipokuwa Mwanza km mkuu wa mkoa siku moja akasikia kuna masheikhe wanahubiri uislam akaagiza wakamatwe wapelekwe ofisini kwake.Kandoro alianza mahojiano na mashekhe...kwa nini mnahubir ktk mkoa wangu?sheikhe akamjibu allah ndiyo mwenye eneo la dunia yote.Akauliza tena jivi mnafikiri huyo allah wenu yupooo?masheikhe walihamaki kwa hasira na kumwambia tizama ww mwanaadamu tena ukiwa ni muislam unamdhihaki allah..wako wap watu wenye nguvu na mali km Firauni?angalia uzima usikudanganye nn utafanya ukiwa ndani ya kabri? Mkuu wa mkoa alinyamaza kimya kisha wakamuona machozi yakimtoka kwa upole akasema masheikhe mniwie radhi nimejikuta tuu naropoka hivi.Akatoa kibali kwa masheikhe na wakahubiri neno la mungu.Pumzika kwa amani na allah akupe kauli thabit