Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turudi kwenye hoja mkuu..najua ww ndiyo dizaina wa hzo sutiKwahyo zana coulibaly ni wa Taifa stars.???
Acha bangi fala wewe...
Umechukua picha ya Simba Sc ukaweka na ya Taifa Stars alafu ukanunua bando la jero la halotel kisha umekuja kupost humu..
Huoni kwamba si saizi zao
Kwahyo zana coulibaly ni wa Taifa stars.???
Acha bangi fala wewe...
Umechukua picha ya Simba Sc ukaweka na ya Taifa Stars alafu ukanunua bando la jero la halotel kisha umekuja kupost humu..
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wabongo mna nongwa sana aiseeHivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Kwa kipimo changu hiji cha sm 190, siwezi thubutu kuvaa upuuzi kama huo.Fasheni ya njiwa...
Huyo ni wewe mkuu acha wanaoweza wavaeKwa kipimo changu hiji cha sm 190, siwezi thubutu kuvaa upuuzi kama huo.