Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeachwa na mitindo ya kisasa!Hivi fundi aliyewashonea zile suti alikua hana futi kamba? Au alipoteza vipimo?Mbona amewashonea vijana wa taifa suti ngoko zote nje..na kwanini hawa vijana wengine hawajanunuliwa soksi. Ni ajabu sana..
View attachment 1121104View attachment 1121106
Kaka [emoji41]Acha ushamba mzee, hio ndio style ya town kwa sasa
Don't touch my shoes, mbona Michael Jackson kavaa sana hiyo style.Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
[emoji41]View attachment 1121164
Mutu ya Congo katika fasi ya kutomboka.
Kuvaaa sutii nikipajii mkuuu usisahau hilo.Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Umeandika ukweli mkuu. Suti ni ushamba bora wangeshona mashati ya vitenge. Suti zinafahamika sana duniani na huvaliwa kwenye shughuli nyingi kama ofisini, harusi na mikutano ya viongozi wa mataifa ya dunia japo wengine huvalia kidamaduni. Kama si mvaaji wa suti mara kwa mara unaweza kuonekana mshamba kwani suti inaweza isikupendeze na kutulia mwilini. Suti ina tabia ya kumpendezesha mtu au kumchukiza kutokana na umbile la mtu na mashono ya mtuKwanza kwenda na masuti kwa watu ambao hawajozoea kuvaa suti ni ushamba. Hili ni kombe la Afrika ambayo kila nchi ingebidi iingie na mavazi ya kitamaduni. Kuna mavazi ya kigogo, kisukuma ama kimasai wagewatafuta wangeitangaza vyema nchi sasa haya masuti oversize na viau kachumbari?
Mkuu umeambiwa ndio fashion ya sasa hivi,ulitaka wavae suti za kizee?Do! hii haijakaa sawa kabisa hayo makoti hayako sawa kabisa
Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Mkuu umenivunja mbavu hahaha
Huyu jamaa amechukua picha ya simba.. Akachanganya na Taifa stars.... Angalia zile logo kifuani katika hizo picha mbili utagundua kitumkude si hajaitwa au ?!
Kichwani kama baraghashia vile!Hivi huyu ni ustadhi Au? Mbona suti haimtaki. Iyo suruali utadhani zile za SunniView attachment 1121123
Hivi ule mpango wa vazi la taifa uliishia wapi au wadau walishapiga hela wakatulia ?Kwanza kwenda na masuti kwa watu ambao hawajozoea kuvaa suti ni ushamba. Hili ni kombe la Afrika ambayo kila nchi ingebidi iingie na mavazi ya kitamaduni. Kuna mavazi ya kigogo, kisukuma ama kimasai wagewatafuta wangeitangaza vyema nchi sasa haya masuti oversize na viau kachumbari?
Mkuu shikamoo hahahahaahahahaha nimecheka sana yhn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]