Aliyewashonea nguo taifa stars mungu anawaona

Sheria ngowi yuko wapi siku hizi

Ova
 
Daa..ndio fashion mzee wangu,

Kama nyie mlivokua mnavaa siluali zenu kaa za amita bachan
 
Umeandika ukweli mkuu. Suti ni ushamba bora wangeshona mashati ya vitenge. Suti zinafahamika sana duniani na huvaliwa kwenye shughuli nyingi kama ofisini, harusi na mikutano ya viongozi wa mataifa ya dunia japo wengine huvalia kidamaduni. Kama si mvaaji wa suti mara kwa mara unaweza kuonekana mshamba kwani suti inaweza isikupendeze na kutulia mwilini. Suti ina tabia ya kumpendezesha mtu au kumchukiza kutokana na umbile la mtu na mashono ya mtu
 
Kuna Suti za kizee na suti za vijana.Suti za vijana zinaenda na mitindo mipya ya suruali za vitambaa. Kuna Suruali za kubana nyembamba vijana wanaziita modo ndizo vijana wa kisasa huzipenda. Vijana Wanachuo wale wa maofisini wanavaa sana. Ila Mzee ukivaa suti ya modo watakushangaa. Modo ndiyo mtindo wa vijana wa kisasa. Uzuri Wa Suti Uivae Siyo Ikuvae
 
Kawaida ya wachezaji Wa mpira Wa miguu huwa hawapendezwi na nguo za kawaida
 
Walitaka wavae kama ile ya kiongozi wa mjengoni pale dodoma.
 
Hivi ule mpango wa vazi la taifa uliishia wapi au wadau walishapiga hela wakatulia ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…