Aliyeweka tuta kituo cha Maji njia ya Kimara-Ubungo na zile zebra nyingi kibaha high way alifikiria nini?

Aliyeweka tuta kituo cha Maji njia ya Kimara-Ubungo na zile zebra nyingi kibaha high way alifikiria nini?

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
Sometimes huwa nafikiria sana wabongo huwa tunawaza nini.

Mfano 1. Tumeweka Ubungo flyover ili tuweze kupunguza msongamano wa magari kwenye taa za Ubungo...proposal imeandikwa vizuri kabisa Ela zikatafutwa na ikajengwa.

Flyover imeanza kutumika ameibuka sijui Kanjanja gani ameenda weka matuta pale inapoanzia flyover- KITUO Cha maji. Matuta hayo yanasabaisha foleni kubwa sana hasa mida ya asubuhi na jioni( Peak hours). Sasa nauliza huwa tunawaaza nini?

Mfano 2: Barabara ya Kimara Kibaha ilikua na foleni kubwa sana kutokana na ufinyu wa Barabara pamoja ma magari kutembea taratibu.

Watu wakaandika proposal wakasema solution ni kutengeneza highway ili magari yawe yanapitia bila vikwazo.

Nyumba zikabomolewa Barabara ikapanuliwa..sasa Cha kushangaza vibao vya speed limit 50km/h vipo kila baada ya km 1 na zebra za kumwaga.

Hivi wabongo hatuwezaji tafuta solution ya kudumu ya matatizo yetu? Maana solution inatengenezwa alafu tatizo linapwchikwa kwenye solution.

Mnachosha sana.
IMG_20210908_171229.jpg
 
Hiyo barabara inatakiwa iwe na vivuko vya juu ili raia wapite huko juu... serikali wamefanya Jambo jema kuitanua hiyo road
 
Hiyo barabara inatakiwa iwe na vivuko vya juu ili raia wapite huko juu... serikali wamefanya Jambo jema kuitanua hiyo road
Ukute unagombea rimoti kuangalia tamthilia kwa shemeji yako. Leo hii unajidai Consultant JF
 
 
Inaelekea kuna watu serikalini wanapenda sana Watanzania tuwe na shida, yale matuta ni sharp sana na yanakera sana. Mimi huwa sielewi mainjinia wetu huwa wanawazaga nini
 
Aliye shauri yale matuta apimwe akili.[emoji1787][emoji1787]
Sometimes huwa nafikiria sana wabongo huwa tunawaza nini.

Mfano 1. Tumeweka Ubungo flyover ili tuweze kupunguza msongamano wa magari kwenye taa za Ubungo...proposal imeandikwa vizuri kabisa Ela zikatafutwa na ikajengwa.

Flyover imeanza kutumika ameibuka sijui Kanjanja gani ameenda weka matuta pale inapoanzia flyover- KITUO Cha maji. Matuta hayo yanasabaisha foleni kubwa sana hasa mida ya asubuhi na jioni( Peak hours). Sasa nauliza huwa tunawaaza nini?

Mfano 2: Barabara ya Kimara Kibaha ilikua na foleni kubwa sana kutokana na ufinyu wa Barabara pamoja ma magari kutembea taratibu.

Watu wakaandika proposal wakasema solution ni kutengeneza highway ili magari yawe yanapitia bila vikwazo.

Nyumba zikabomolewa Barabara ikapanuliwa..sasa Cha kushangaza vibao vya speed limit 50km/h vipo kila baada ya km 1 na zebra za kumwaga.

Hivi wabongo hatuwezaji tafuta solution ya kudumu ya matatizo yetu? Maana solution inatengenezwa alafu tatizo linapwchikwa kwenye solution.

Mnachosha sana.
View attachment 1929400View attachment 1929401
 
Speed ya 50km mara 30km inaboa sana, utadhani kwenye daraja la kigamboni...
 
Back
Top Bottom