Aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan 2022

Aliyoyafanya Rais Samia Suluhu Hassan 2022

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Aliyoyafanikisha mwaka 2022.
  • Madarasa Mapya 15,000
  • Wanafunzi 907,802 Wajiunga Kidato cha Kwanza kwa Pamoja
  • Ada Kidato cha 5 & 6 Yafutwa, Elimu Bure Msingi hadi Sekondari
  • Nyongeza ya Mishahara ya Wafanyakazi
  • Walimu Wakalipwa Malimbikizo ya Mishahara Yao Bilioni 117.6
  • Bilioni 106 Zaongezwa kwenye Mikopo Elimu ya Juu Kufikia Bilioni 570
  • Royal Tour Ikaongeza Watalii zaidi ya 60%
  • Bilioni 954 Bajeti ya Kilimo, Ongezeko zaidi ya mara 3
  • Bilioni 150 Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima
  • Ujenzi wa Hospitali za Rufaa KATAVI, GEITA, NJOMBE, SONGWE, na SIMIYU
  • Ujenzi na Ukarabati wa Vituo vya Afya 304
  • Bima ya Afya kwa Wote yaanza kufanyiwa Kazi
  • Ujenzi Bwawa la Julius Nyerere Umefikia 78%
  • Kigoma Ikaunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza
  • Miradi ya Maji zaidi ya 190 Kunufaisha Mamilioni ya Watanzania
  • Milioni 10 kwa Machinga kila Mkoa
  • SGR Inajengwa kwa Kasi zaidi, kwenda hadi Mkoa wa Kigoma
  • Kuimarishwa kwa Uhusiano wa Kimataifa
  • Mchakato wa Maridhiano na Vyama vya Siasa
  • Uwekezaji wa Dola za Kimarekani Bilioni 3.16 kati ya Julai na Novemba pekee
  • Uchumi Umefunguka, Mzunguko wa Fedha Umeongezeka
ASANTE RAIS SAMIA 2022

IMG-20221127-WA0072.jpg
 
Ongezea
-Kuurejesha ufisadi ambao ulikuwa umeshapungua
-Maisha ya wakulima wa alizet kuzidi kuwa magumu baada ya kuruhusu waarabu kuingiza mafuta kutoka nje kiholela
-Mfumuko mkubwa wa bei hasa vyakula na vifaa vya ujenzi
-Mgao wa umeme
-Mgao wa maji
-Kukopa hovyo hovyo
-Safari zisizo na tija nje ya nchi zikiongozwa na yeye mwenyewe
-uwajibikaji maofisi ya serikali kuporomoka kwa kasi ya 5g
Nk nk
 
ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Aliyoyafanikisha mwaka 2022.
  • Madarasa Mapya 15,000
  • Wanafunzi 907,802 Wajiunga Kidato cha Kwanza kwa Pamoja
  • Ada Kidato cha 5 & 6 Yafutwa, Elimu Bure Msingi hadi Sekondari
  • Nyongeza ya Mishahara ya Wafanyakazi
  • Walimu Wakalipwa Malimbikizo ya Mishahara Yao Bilioni 117.6
  • Bilioni 106 Zaongezwa kwenye Mikopo Elimu ya Juu Kufikia Bilioni 570
  • Royal Tour Ikaongeza Watalii zaidi ya 60%
  • Bilioni 954 Bajeti ya Kilimo, Ongezeko zaidi ya mara 3
  • Bilioni 150 Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima
  • Ujenzi wa Hospitali za Rufaa KATAVI, GEITA, NJOMBE, SONGWE, na SIMIYU
  • Ujenzi na Ukarabati wa Vituo vya Afya 304
  • Bima ya Afya kwa Wote yaanza kufanyiwa Kazi
  • Ujenzi Bwawa la Julius Nyerere Umefikia 78%
  • Kigoma Ikaunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza
  • Miradi ya Maji zaidi ya 190 Kunufaisha Mamilioni ya Watanzania
  • Milioni 10 kwa Machinga kila Mkoa
  • SGR Inajengwa kwa Kasi zaidi, kwenda hadi Mkoa wa Kigoma
  • Kuimarishwa kwa Uhusiano wa Kimataifa
  • Mchakato wa Maridhiano na Vyama vya Siasa
  • Uwekezaji wa Dola za Kimarekani Bilioni 3.16 kati ya Julai na Novemba pekee
  • Uchumi Umefunguka, Mzunguko wa Fedha Umeongezeka
ASANTE RAIS SAMIA 2022

View attachment 2463804
Kwa sasa uchawa ndiyo umegeuka kuwa siri ya mafanikio kwa wananchi wengi wanaotokea familia duni. Hakuna tena watu kupambana mtaani ili kujiongezea kipato!

Maana hali ya kiuchumi ni ngumu kweli kweli, kutokana na utawala na sera mbovu za serikali. Hivyo njia ya mkato kwa wananchi wengi, hususani vijana; ni kujipendekeza kwa wale wachche wanaofaidi keki ya Taifa, kama anavyofanya mtoa mada! Usikute hata kesho yake tu haijui! Ila ameamua kwa makusudi kabisa kujitoa ufahamu.

Hakika kwa hali hii tuna miaka mingi sana mbele ya kuja kulikomboa hili Taifa, kutoka kwa hawa Wakoloni wetu weusi.
 
Ulitaka asifanye?????

Mbona mna mambo ya kitoto sana.

HII NCHI NI MASIKINI MNO.
HATUNA HATA SEKTA MOJA TUNAWEZA KUJIVUNIA.

NYIE NI VIJANA WA HOVYO SANA
 
ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Aliyoyafanikisha mwaka 2022.
  • Madarasa Mapya 15,000
  • Wanafunzi 907,802 Wajiunga Kidato cha Kwanza kwa Pamoja
  • Ada Kidato cha 5 & 6 Yafutwa, Elimu Bure Msingi hadi Sekondari
  • Nyongeza ya Mishahara ya Wafanyakazi
  • Walimu Wakalipwa Malimbikizo ya Mishahara Yao Bilioni 117.6
  • Bilioni 106 Zaongezwa kwenye Mikopo Elimu ya Juu Kufikia Bilioni 570
  • Royal Tour Ikaongeza Watalii zaidi ya 60%
  • Bilioni 954 Bajeti ya Kilimo, Ongezeko zaidi ya mara 3
  • Bilioni 150 Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima
  • Ujenzi wa Hospitali za Rufaa KATAVI, GEITA, NJOMBE, SONGWE, na SIMIYU
  • Ujenzi na Ukarabati wa Vituo vya Afya 304
  • Bima ya Afya kwa Wote yaanza kufanyiwa Kazi
  • Ujenzi Bwawa la Julius Nyerere Umefikia 78%
  • Kigoma Ikaunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza
  • Miradi ya Maji zaidi ya 190 Kunufaisha Mamilioni ya Watanzania
  • Milioni 10 kwa Machinga kila Mkoa
  • SGR Inajengwa kwa Kasi zaidi, kwenda hadi Mkoa wa Kigoma
  • Kuimarishwa kwa Uhusiano wa Kimataifa
  • Mchakato wa Maridhiano na Vyama vya Siasa
  • Uwekezaji wa Dola za Kimarekani Bilioni 3.16 kati ya Julai na Novemba pekee
  • Uchumi Umefunguka, Mzunguko wa Fedha Umeongezeka
ASANTE RAIS SAMIA 2022

View attachment 2463804
Kongole kwake!, hivyo we are very right 2015 Mama aendelee kama tulivyo shauri hapa, Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Ila pia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
sio hoja ya kupuuziwa hata kidogo!.
P
 
ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Aliyoyafanikisha mwaka 2022.
  • Madarasa Mapya 15,000
  • Wanafunzi 907,802 Wajiunga Kidato cha Kwanza kwa Pamoja
  • Ada Kidato cha 5 & 6 Yafutwa, Elimu Bure Msingi hadi Sekondari
  • Nyongeza ya Mishahara ya Wafanyakazi
  • Walimu Wakalipwa Malimbikizo ya Mishahara Yao Bilioni 117.6
  • Bilioni 106 Zaongezwa kwenye Mikopo Elimu ya Juu Kufikia Bilioni 570
  • Royal Tour Ikaongeza Watalii zaidi ya 60%
  • Bilioni 954 Bajeti ya Kilimo, Ongezeko zaidi ya mara 3
  • Bilioni 150 Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima
  • Ujenzi wa Hospitali za Rufaa KATAVI, GEITA, NJOMBE, SONGWE, na SIMIYU
  • Ujenzi na Ukarabati wa Vituo vya Afya 304
  • Bima ya Afya kwa Wote yaanza kufanyiwa Kazi
  • Ujenzi Bwawa la Julius Nyerere Umefikia 78%
  • Kigoma Ikaunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza
  • Miradi ya Maji zaidi ya 190 Kunufaisha Mamilioni ya Watanzania
  • Milioni 10 kwa Machinga kila Mkoa
  • SGR Inajengwa kwa Kasi zaidi, kwenda hadi Mkoa wa Kigoma
  • Kuimarishwa kwa Uhusiano wa Kimataifa
  • Mchakato wa Maridhiano na Vyama vya Siasa
  • Uwekezaji wa Dola za Kimarekani Bilioni 3.16 kati ya Julai na Novemba pekee
  • Uchumi Umefunguka, Mzunguko wa Fedha Umeongezeka
ASANTE RAIS SAMIA 2022

View attachment 2463804
Rekebisha miradi ya Maji Iko zaidi ya 1000 Nchi nzima,

Pia umeacha miradi muhimu sana ,juzi tuu hapa Mbeya wamezindua wameweka Jiwe la Msingi mradi wa Bil.118, Waziri Mkuu amweka Jiwe la Msingi la mradi wa Maji Ruangwa bil.120 .

Mabarabara ndio Kila Kona ya Nchi
 
ALIYOYAFANYA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Aliyoyafanikisha mwaka 2022.
  • Madarasa Mapya 15,000
  • Wanafunzi 907,802 Wajiunga Kidato cha Kwanza kwa Pamoja
  • Ada Kidato cha 5 & 6 Yafutwa, Elimu Bure Msingi hadi Sekondari
  • Nyongeza ya Mishahara ya Wafanyakazi
  • Walimu Wakalipwa Malimbikizo ya Mishahara Yao Bilioni 117.6
  • Bilioni 106 Zaongezwa kwenye Mikopo Elimu ya Juu Kufikia Bilioni 570
  • Royal Tour Ikaongeza Watalii zaidi ya 60%
  • Bilioni 954 Bajeti ya Kilimo, Ongezeko zaidi ya mara 3
  • Bilioni 150 Ruzuku ya Mbolea kwa Wakulima
  • Ujenzi wa Hospitali za Rufaa KATAVI, GEITA, NJOMBE, SONGWE, na SIMIYU
  • Ujenzi na Ukarabati wa Vituo vya Afya 304
  • Bima ya Afya kwa Wote yaanza kufanyiwa Kazi
  • Ujenzi Bwawa la Julius Nyerere Umefikia 78%
  • Kigoma Ikaunganishwa na Umeme wa Gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza
  • Miradi ya Maji zaidi ya 190 Kunufaisha Mamilioni ya Watanzania
  • Milioni 10 kwa Machinga kila Mkoa
  • SGR Inajengwa kwa Kasi zaidi, kwenda hadi Mkoa wa Kigoma
  • Kuimarishwa kwa Uhusiano wa Kimataifa
  • Mchakato wa Maridhiano na Vyama vya Siasa
  • Uwekezaji wa Dola za Kimarekani Bilioni 3.16 kati ya Julai na Novemba pekee
  • Uchumi Umefunguka, Mzunguko wa Fedha Umeongezeka
ASANTE RAIS SAMIA 2022

View attachment 2463804
Mungu aendelee na Mama kwa Kishindo Kikuu! KAZI IENDELEE kwa kishindo kikuu!
 
Sielewagi hizi Mambo za kusifu sifu hovyo. Hivi si ni wajibu?
Kwenye maisha yako yote, jitahidi sana kuwa unawanenea mema au kuwasifu watu unaowahitaji, hata kama hawana chochote kile wanachoweza kufanya katika maisha yako, kwa sababu kwa upande mwingine, kumnenea mema mtu mwingine ni kumbariki

Mbali na hilo, usipowanenea mema wale unaowahitaji, kuna wabaya wako wewe ambao wanaweza kuwanenea mabaya halafu ukawakosa na katika muda ule ambao ulikuwa bado unawahitaji., lakini kama ukiwanenea mema, wataendelea kuwa pamoja na wewe kwa sababu Mungu atawalinda na kuwafanya wasiondoke kwako

Hayupo mtu hata mmoja hapa duniani ambaye huwa hana hitaji la kuwa na Rais wa nchi
 
Back
Top Bottom