Binadamu hawawezi kufanana, mwache afanye anachotaka..pesa ni zakeTanzania tuna Bilionea anaitwa Diamond platinum, vitu pekee anachojivunia kijamii ni kubadilisha wanawake, kufanya tafrija za ufuska na kubadilisha magari.
Kuna kitu kikubwa mnoo cha kujifunza kutoka kwa Sadio Mane, Samwel Eto, Nwanko Kanu.
Sasa huyu ndio tajiri mwenye hekima. Sio unakaa unajaz magari ya kifahalinambayo hayana impact yoyyote ukiondoa kujilisha upepo tuu▶ Amejenga shule yenye thamani ya €270,000.
▶ Amejenga hospitali yenye thamani ya €530,000.
▶ Hupatia kila familia €70 kila mwezi.
▶ Hutoa nguo bure kwa watoto.
▶ Upatikanaji wa mtandao wa 4G kutokana na ushirikiano wake na Orange.
▶ Kituo cha mafuta kupitia Oryx Senegal hivi karibuni.
View attachment 2263824
Lakini hujajengaMbona hata mimi naweza kujenga shule na hospital !.
Tanzania tuna Bilionea anaitwa Diamond platinum, vitu pekee anachojivunia kijamii ni kubadilisha wanawake, kufanya tafrija za ufuska na kubadilisha magari.
Kuna kitu kikubwa mnoo cha kujifunza kutoka kwa Sadio Mane, Samwel Eto, Nwanko Kanu.
Kama mondi vitu vingi ni udalali wa kutumia jina lake tu sio vyakeSiyo kupendana shida ni kwamba mtu wa Afrika Magharibi akitajwa kua ni tajiri anakua ni tajiri kweli wakati hapa bongo mtu anakua tajiri akiwa na nyumba na IST
Ule msikiti wa ujiji hakujenga yeye, alienda kufanya finishing tuuKwa hiyo unachagua vile -ve tu ndio unaandika?
Huoni msikiti aliojenga Kigoma, Kulipia kodi watu 500, kuwekea vijana wa bodaboda takribani 1000 full tank kila mmoja, kuajiri vijana wenzake, kufunguza watu kipindi cha ramadhani, kuwapa vijana mitaji n.k
Ulichochagua wewe kuona ni -ve tu, swala la kubadilisha wanawake hakuna Mwanaume awaye yeyote asiyebadilisha wanawake, ni vile tu sisi wengine hatuonwi kwa kuwa sio mastar, huku Uyole Mbeya viwembe tupo wa kutosha tu.
Msipangie watu matumizi ya pesa zao, walitafutia juani waacheni watumie vile wanapenda, ukipata wewe pesa nenda kafanye kama Sadio Mane.
Kuhusu tafrija za ufuska nadhani bado hujaona, nenda Tabata ukaone orgy zinapigwa live ndo utajua Diamond cha mtoto tu.
Yaani! Hebu fikiria tu!......Angekuwa bongo , pamoja na yote hayo Bado watu wangemchukia na wangemvizia kumroga au kumuua kabisa ..!
Inashangaza sana kwa kweli.Huyu angekuwa bongo wange mwambia ana show off,wabongo tunanongwa husipotoa utaambiwa mchoyo au masharti ya mganga wake.
Hakika amefanya makubwa[emoji666] Amejenga shule yenye thamani ya €270,000.
[emoji666] Amejenga hospitali yenye thamani ya €530,000.
[emoji666] Hupatia kila familia €70 kila mwezi.
[emoji666] Hutoa nguo bure kwa watoto.
[emoji666] Upatikanaji wa mtandao wa 4G kutokana na ushirikiano wake na Orange.
[emoji666] Kituo cha mafuta kupitia Oryx Senegal hivi karibuni.
View attachment 2263824
Kwamba ukweli ni kwamba hajawahi kufanya hilo suala.Kwa hiyo ulitaka mpaka familia yangu na yako ziguswe ndio uone kwamba mtu kajitolea?
Allah anaishi kwenye nyumba?Samata amejenga msikiti nyumba yaAllah s.w
Hahahaaaa hahahaaaa hahahaaaaSamata amejenga msikiti nyumba yaAllah s.w