Aliyoyafanya Sadio Mané katika kijiji chake

Tanzania tuna Bilionea anaitwa Diamond platinum, vitu pekee anachojivunia kijamii ni kubadilisha wanawake, kufanya tafrija za ufuska na kubadilisha magari.

Kuna kitu kikubwa mnoo cha kujifunza kutoka kwa Sadio Mane, Samwel Eto, Nwanko Kanu.
Binadamu hawawezi kufanana, mwache afanye anachotaka..pesa ni zake
 
Wengine wanajenga nyumba za ibada. Inashangaza sana lakini ndiyo ukweli huo
 
Sasa huyu ndio tajiri mwenye hekima. Sio unakaa unajaz magari ya kifahalinambayo hayana impact yoyyote ukiondoa kujilisha upepo tuu
 
Tanzania tuna Bilionea anaitwa Diamond platinum, vitu pekee anachojivunia kijamii ni kubadilisha wanawake, kufanya tafrija za ufuska na kubadilisha magari.

Kuna kitu kikubwa mnoo cha kujifunza kutoka kwa Sadio Mane, Samwel Eto, Nwanko Kanu.

Mkuu Domo sio Bilionea, ni msaka tonge tu kama wengine, usibabaike na nguvu nyingi anazotumia ili tumuone yeye Bilionea, Yale ni matatizo ya akili yanamtesa.
 
ni mambo ya kawaida sana hayo kulingana na uwezo alionao. Yawezekana yote ameyafanikisha kwa hela alioingiza ndani ya mwezi mmoja tu.
 
Halafu jamaa anatumia simu ya kitochi a.k.a kiswaswadu
 
Siyo kupendana shida ni kwamba mtu wa Afrika Magharibi akitajwa kua ni tajiri anakua ni tajiri kweli wakati hapa bongo mtu anakua tajiri akiwa na nyumba na IST
Kama mondi vitu vingi ni udalali wa kutumia jina lake tu sio vyake
 
Ule msikiti wa ujiji hakujenga yeye, alienda kufanya finishing tuu
 
Mbona Samata kajenga msikiti Kigambo huku baba yake anaishi uchochoroni Mbagala.
 
Huyu angekuwa bongo wange mwambia ana show off,wabongo tunanongwa husipotoa utaambiwa mchoyo au masharti ya mganga wake.
 
Hakika amefanya makubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…