Kwa hiyo unachagua vile -ve tu ndio unaandika?
Huoni msikiti aliojenga Kigoma, Kulipia kodi watu 500, kuwekea vijana wa bodaboda takribani 1000 full tank kila mmoja, kuajiri vijana wenzake, kufunguza watu kipindi cha ramadhani, kuwapa vijana mitaji n.k
Ulichochagua wewe kuona ni -ve tu, swala la kubadilisha wanawake hakuna Mwanaume awaye yeyote asiyebadilisha wanawake, ni vile tu sisi wengine hatuonwi kwa kuwa sio mastar, huku Uyole Mbeya viwembe tupo wa kutosha tu.
Msipangie watu matumizi ya pesa zao, walitafutia juani waacheni watumie vile wanapenda, ukipata wewe pesa nenda kafanye kama Sadio Mane.
Kuhusu tafrija za ufuska nadhani bado hujaona, nenda Tabata ukaone orgy zinapigwa live ndo utajua Diamond cha mtoto tu.