Aliyoyasema Abdul Nondo akiwa kwenye mkutano wa Baraza La Vijana la CHADEMA (BAVICHA)

Aliyoyasema Abdul Nondo akiwa kwenye mkutano wa Baraza La Vijana la CHADEMA (BAVICHA)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo, Nondo wakati akitoa salamu za ngome hiyo katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) unaoendelea katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, Januari 13, 2025 amesema:

“Sisi vijana wa vyama hivi tuna ajenda zinazofanana na changamoto zinazotufanya tuungane. Changamoto za kidemokrasia, kama vile kuvurugwa kwa uchaguzi, zinaathiri wote bila kujali itikadi zetu,” amesema Nondo.

Akitilia mkazo suala la usalama wa vijana, Nondo ameeleza vitendo vya kutekwa kwa baadhi ya watu vinapaswa kufika mwisho.

“Inawezekana tukawa tunatofautiana katika mambo madogo, lakini mambo makubwa yanayotuunganisha ni muhimu zaidi. Lazima tuunganishe nguvu kwa ajili ya usalama wetu.”

Pia ametoa wito kwa wale watakaochaguliwa katika nafasi mbalimbali kuhakikisha wanachukua hatua za kuzuia vitendo vya utekaji, akisema: “Haya mambo ya kutekwa lazima yafike mwisho,” amesema


 
Wakuu,

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo, Nondo wakati akitoa salamu za ngome hiyo katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) unaoendelea katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, Januari 13, 2025 amesema:

“Sisi vijana wa vyama hivi tuna ajenda zinazofanana na changamoto zinazotufanya tuungane. Changamoto za kidemokrasia, kama vile kuvurugwa kwa uchaguzi, zinaathiri wote bila kujali itikadi zetu,” amesema Nondo.

Akitilia mkazo suala la usalama wa vijana, Nondo ameeleza vitendo vya kutekwa kwa baadhi ya watu vinapaswa kufika mwisho.

“Inawezekana tukawa tunatofautiana katika mambo madogo, lakini mambo makubwa yanayotuunganisha ni muhimu zaidi. Lazima tuunganishe nguvu kwa ajili ya usalama wetu.”

Pia ametoa wito kwa wale watakaochaguliwa katika nafasi mbalimbali kuhakikisha wanachukua hatua za kuzuia vitendo vya utekaji, akisema: “Haya mambo ya kutekwa lazima yafike mwisho,” amesema


View attachment 3200804
Unafiki hauwezi kutenganishwa!
 
Free Dr.Slaa
hq720.jpg
 
Wakuu,

Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ya ACT Wazalendo, Abdul Nondo, Nondo wakati akitoa salamu za ngome hiyo katika mkutano wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) unaoendelea katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, Januari 13, 2025 amesema:

“Sisi vijana wa vyama hivi tuna ajenda zinazofanana na changamoto zinazotufanya tuungane. Changamoto za kidemokrasia, kama vile kuvurugwa kwa uchaguzi, zinaathiri wote bila kujali itikadi zetu,” amesema Nondo.

Akitilia mkazo suala la usalama wa vijana, Nondo ameeleza vitendo vya kutekwa kwa baadhi ya watu vinapaswa kufika mwisho.

“Inawezekana tukawa tunatofautiana katika mambo madogo, lakini mambo makubwa yanayotuunganisha ni muhimu zaidi. Lazima tuunganishe nguvu kwa ajili ya usalama wetu.”

Pia ametoa wito kwa wale watakaochaguliwa katika nafasi mbalimbali kuhakikisha wanachukua hatua za kuzuia vitendo vya utekaji, akisema: “Haya mambo ya kutekwa lazima yafike mwisho,” amesema


View attachment 3200804
Nondo ni hazina ya Taifakama hajawq recruited basi hawana macho ya mbali.....najua yuko karibu zzk laIma kuna kitu nyuma yake....UKAWA ilikuwa tiahio kubwa sanaa wale Mules wakaharibu ile movement......re build up...muda utaongea ila safari ndefu sanaa
 
He is smart.
Hii agenda inajulikana toka Mwamba ama Mnyika wakiwa Bavicha, CCM haitaki vijana wa Taifa hili wawe na kauli moja.
Na ndiyo maana hadi leo hatuna Balaza la vijana la Taifa.
 
Hivi tangu nimemsikia Nondo kipindi kile kajiteka mpaka leo bado ni kijana? Ufafanuzi tafadhali!
Kama Kikwete alipogombea uchaguzi wa 2005 alikuwa anaitwa kijana akiwa na 54yrs, huyu Nondo huko ccm kwa umri huo si atachukuliwa kama ananyonya?
 
Back
Top Bottom