All is set for Somalia to join the EAC

All is set for Somalia to join the EAC

Mbona SADC tumekaa mwakajana huko Lesotho. Makamu wa rais alimwakilisha mkuu wa nchi yetu?.
By the way SADC is the best block in Africa. Taja block yoyo inayoweza kuifikia SADC kwa uwezo, umoja na ushirikiano.
Naomba unitajie faida tano za uchumu tunazopata kutoka SADC kama nchi ...... sisi dumping place ya bidha kutoka Africa kusini.
 
Kaka haya mambo hayako hivyo, kufaulu au kufeli maisha inatokana na juhudi zako. Kuwa failed state hujiamulii wewe, ni vigezo kama hujavifikia basi unakuwa failed state. Hawa wakenya ni vichaa sana, wao wanakubali na kufurahia walipotajwa kwamba ni middle income, lakini wanaumia na kuona uchungu wakitajwa kwamba ni failed state[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kufeli au kufaulu kimaisha inatokana na raia kupewa fursa("opportunities and possibilities") katika kuongoza maisha yake,moja katika fursa muhimu ni kumuwezesha raia kuwa na uwezo wa kuamua na kuchangia mambo muhimu katika taifa lake,haya siyaoni katika taifa la Tanzania

Tanzania is failing state...what recently happened in Tanzania is just the beginning of the end of the failing Nation.....
 
M
Huo ni muungano wa nchi masikini na shida tupu, Burundi Sudani ya kusini Somalia Rwanda who will help who?
My friend "never underestimate the power of poverty stricken Banana republics in a large economic blocks"
 
Kufeli au kufaulu kimaisha inatokana na raia kupewa fursa("opportunities and possibilities") katika kuongoza maisha yake,moja katika fursa muhimu ni kumuwezesha raia kuwa na uwezo wa kuamua na kuchangia mambo muhimu katika taifa lake,haya siyaoni katika taifa la Tanzania

Tanzania is failing state...what recently happened in Tanzania is just the beginning of the end of the failing Nation.....
Nilianza kwa kusema kwamba, haya mambo hujipangii wewe kama mtu binafsi au kama nchi. Mtu kuitwa bilionea ni lazima uwe na hizo bilioni, au kuwa professor ni lazima ufikishe vigezo vilivyowekwa kidunia, sio jambo la mtu kujiita tu, huwezi kumvua mtu u pofessor wake aliotunukiwa kihalali eti kwasababu tu huoni kama anastahili.

Kenya imetunukiwa status ya failed state, hata kama huamini au hupendi, hilo ni juu yako na wala haisumbui mtu. Tanzania bado haijabahatika kutunukiwa status ya failed state, huwezi kufanya lolote hata kama kwako wewe binafsi unadhani inapaswa iwe failed state, huo ni mtazamo wako endelea kuwa nao kaka, ni haki yako kufikiria vile upendavyo.
 
Mbona SADC tumekaa mwakajana huko Lesotho. Makamu wa rais alimwakilisha mkuu wa nchi yetu?.
By the way SADC is the best block in Africa. Taja block yoyo inayoweza kuifikia SADC kwa uwezo, umoja na ushirikiano.

sisi moyo wetu, mawazo yetu na akili zetu ziko SADC. huko sijui EAC tunakuja kupiga story tu. kwa sababu kuna member mmoja yuko half minded halafu anataka ku dictate terms za jumuiya wakati HANA analojua zaidi ya kuuza nchi yao kwa MAKABAILA.
 
sisi moyo wetu, mawazo yetu na akili zetu ziko SADC. huko sijui EAC tunakuja kupiga story. kwa sababu kuna member mmoja yuko half minded halafu anataka ku dictate terms za jumuiya wakati HANA analojua zaidi ya kuuza nchi yao kwa MAKABAILA.
Well stipulated[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Somalia hivi si ni member wa egart (sijui kama sahihi). uko maendeleo yake yakoje?
 
M

My friend "never underestimate the power of poverty stricken Banana republics in a large economic blocks"
Economically sisi kama tz hakuna kiti kiuchumu kupata kutoka Somalia na Burundi labda intermarriage na cheap labor kutoka burundi
 
Kama Somalia ikijiunga, EA itakuwa na jumla ya nchi 3 ambazo ni failed states, Kenya, South Sudan na Somalia[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Kenya ni failed state? Kama unatania ni sawa ila kama upo serious, then ningekuomba usome maana ya failed state kwenye Wikipedia
 
Africa kusini haiwezi kukubali kwasabb kenye ni serious competitor (industrial production) anahitaji nchi kama Tz zambia nk kua damping place for finished goods from S.A
Wewe bwege kweli , SA na Rest countries kusini mwa afrika hawaewezi ikubali Kenya kwa sababu Moja kuuu USALITI

Nyie mnaongoza kwa viwanda labda vya mirungi
 
Kenya ni failed state? Kama unatania ni sawa ila kama upo serious, then ningekuomba usome maana ya failed state kwenye Wikipedia
Kenya ranked as 'failed state'
Mbona hutaki kuelewa?, sio mimi niliyeiweka Kenya katika kundi la failed state, nimekuwekea link hapo, mbona hutaki kuelewa?

Kama unataka kutumia reasoning, Kenya haipaswi kuwa katika kundi la Lower middle income countries, hakuna nchi yoyote iliyopo katika kundi hilo na bado inategemea food donations, labda kama ina civil war.
 
Africa kusini haiwezi kukubali kwasabb kenye ni serious competitor (industrial production) anahitaji nchi kama Tz zambia nk kua damping place for finished goods from S.A
Vigezo vya kuwa member SADC ni kama kuwa member katika Commonwealth countries, lazima kuwe na commonality. Kenya walikua wanasafisha boots za askari wa wazungu ili kwenda kuwaua black South Africans, Kenya isahau kuhusu SADC
 
Wewe bwege kweli , SA na Rest countries kusini mwa afrika hawaewezi ikubali Kenya kwa sababu Moja kuuu USALITI

Nyie mnaongoza kwa viwanda labda vya mirungi
Naomba ongea maswala ya uchumu sio ushabiki tu Kenya economically ni threat to SA. unaingia supermarket ya cape town unakuta nescafe Cocoa Nido kutoka kenya pamoja na kodi wanaweza kupeleka bidha zao je wakiondoa kodi kwa SADC inakua je kwahiyo S.A. lazima ipinge....sasa Zambia au nchi yangu inauza nini S.A. mwenye soko kumbwa na strong middle class?
 
Nilianza kwa kusema kwamba, haya mambo hujipangii wewe kama mtu binafsi au kama nchi. Mtu kuitwa bilionea ni lazima uwe na hizo bilioni, au kuwa professor ni lazima ufikishe vigezo vilivyowekwa kidunia, sio jambo la mtu kujiita tu, huwezi kumvua mtu u pofessor wake aliotunukiwa kihalali eti kwasababu tu huoni kama anastahili.

Kenya imetunukiwa status ya failed state, hata kama huamini au hupendi, hilo ni juu yako na wala haisumbui mtu. Tanzania bado haijabahatika kutunukiwa status ya failed state, huwezi kufanya lolote hata kama kwako wewe binafsi unadhani inapaswa iwe failed state, huo ni mtazamo wako endelea kuwa nao kaka, ni haki yako kufikiria vile upendavyo.
Mkuu,Kenya inaongoza kwa uchumi katika Afrika mashariki,bajeti ya Kenya haitegemei pesa kutoka kwa wafadhili wakati Tanzania asilimia 60 ya bajeti yake inategemea pesa kutoka kwa wafadhili,Kenya ina mfumo wake wa uchumi wakati Tanzania haijui hata ifate mfumo gani wa uchumi

Tanzania ni nchi iliyofeli kufanikisha raia wake tangu ipate uhuru wake,Tanzania is a failed state,Tanzania haiwezi kuipata kenya kwa chochote kuanzia dempkrasi,na mambo mengine ya kimaendeleo
 
Naomba ongea maswala ya uchumu sio ushabiki tu Kenya economically ni threat to SA. unaingia supermarket ya cape town unakuta nescafe Cocoa Nido kutoka kenya pamoja na kodi wanaweza kupeleka bidha zao je wakiondoa kodi kwa SADC inakua je kwahiyo S.A. lazima ipinge....sasa Zambia au nchi yangu inauza nini S.A. mwenye soko kumbwa na strong middle class?
Hivi wewe jamaa ni timamu kweli

Kivipi Kenya ni threat kwa uchumi Wa SA

Kenya sio threat , Kenya hana vigezo vya kujiunga SADC na hii ni kwa sababu ya USALITI wake na siku EAC ikivunjika sijui mtaenda Block ipi
 
Mkuu,Kenya inaongoza kwa uchumi katika Afrika mashariki,bajeti ya Kenya haitegemei pesa kutoka kwa wafadhili wakati Tanzania asilimia 60 ya bajeti yake inategemea pesa kutoka kwa wafadhili,Kenya ina mfumo wake wa uchumi wakati Tanzania haijui hata ifate mfumo gani wa uchumi

Tanzania ni nchi iliyofeli kufanikisha raia wake tangu ipate uhuru wake,Tanzania is a failed state,Tanzania haiwezi kuipata kenya kwa chochote kuanzia dempkrasi,na mambo mengine ya kimaendeleo
Hujui lolote Bali unamezeshwa matango pori
 
Back
Top Bottom