Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Kuna mtu amesema kule nyuma kwamba it takes two to tango!!! Ndugu yangu pretty, acha hilo.... kuna mimama nayo imezidi kusarandia serengeti boys, na hao tunawaweka wapi?? maana naona hakuna haja ya new thread, tuwatandikie humuhumu
Mkuu taratibu utaniharibia. Kuna moja linaniweka mjini. Nikichacha nali-beep linakuja fasta. Nalipa huduma, naondoka namkwanja wa uhakika.