Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Hahaha, Bora u learn kwenye ukuta utulie tu.Hehe! Utaniuaaa… i am just a real bad dancer, i can’t differentiate margarine from butter. Amapiano ndio ile yakupindua macho? Au nachanganya mambo.
Ipo ila huwezi kukubali 😂Na hapa kwangu haipo 🤣
Hahahahaha..ngoma drawHahaha, hahahaha, ye SI msanii basi kajibiwa kisanii. Hahaha
Hahahahaha...😂😂😂😂
Hahaha, hiyo Ina itwa double impact.Hahahahaha..ngoma draw
HahahahahaHahaha, hiyo Ina itwa double impact.
Kama ngumi ya kina Oscar de la Hoya, au gg canelo.
Nitafutie, Kuna kitu nime Kumbuka tafadhaliHata siukumbuki ngoja nijaribu kuusearch
😂😂😂😂😂😂😂nimeshajua ni nini. Kwenda zako😏😏Nitafutie, Kuna kitu nime Kumbuka tafadhali
Serious matter for real, sio jokes tafadhali😂😂😂😂😂😂😂nimeshajua ni nini. Kwenda zako😏😏
Yule mlevi asiponitelekeza stend sijui🧚♀😂😂😂acha nimset mapemaHahahahaha...
Ulifutwa nimekumbukaSerious matter for real, sio jokes tafadhali
Dah, ulikuwepo bhana niliona last monthUlifutwa nimekumbuka
Ulifutwa maana mimi nilicomment baadae nikawa siuoni hata niki search kile nilicho comment.Dah, ulikuwepo bhana niliona last month
Ndio, huo nautakaUlifutwa maana mimi nilicomment baadae nikawa siuoni hata niki search kile nilicho comment.
Au labda unamaanisha ule wa kutaja tarehe uliyozaliwa ukutane na mwenzako mnao share birthday?
umeanza mipasho ya kimakondeHuwezi elewa nusu albinoo we, endelea kukanda na kuumua.
Mmmmh..hahahahahaha...humu kuna raha sanaYule mlevi asiponitelekeza stend sijui🧚♀😂😂😂acha nimset mapema
Kaka una dharau yani unamtusi shem wangu kipenzi hivi ?bro nina portfolio nyingi imara tu, so siwezi sumbuliwa na lunatics wa zama hizi