Alli kiba na Ben Pol wamepotea kimuziki

Alli kiba na Ben Pol wamepotea kimuziki

SAsa hao sony siwange msaini msanii ambaye ajapotea mbona mamemsaini aliye potea #kingkiba
 
Kwa sisi tunaojua muziki tunaelewa ila kwa wale die hard fans hii kitu hawawezi kuielewa,kwanza hiyo habari ya alli kiba kusainiwa sony mi sioni kama ni ngeni maana kumbuka kipindi wamefanya ngoma na R kerry lakini cha maana hakuna,nabhata huo wimbo wake mpya wa "waje" ni mbaya sana na hauna mvuto kabisa,,na huyu ben pol ndio kwa heli kabisa maana hiyo ngoma yake mpya ya moyo mashine nayi ni mbovu kupita maelezo,ila tu kwa kuwa wameshatengeneza majina basi zitashika chat tu
NB: pamoja na ubaya wa nyimbo hizo mashabiki wasiojua miziki watasifia tu
Wewe hujui mziki.
Mziki ni hisia za mtu. Kama weewe hupendi kuna wanaopenda. Umecrush general sana.
 
hako kadogo kiba ndo kamedanja kitambo kimuziki lakn umenisikitisha sana kumtaja benpaul kama et kafa kimuziki, hv unafatilia vizur muziki mkuu? au unaendeshwa na hisia binafsi.
 
Aje! wema sepetu aje! Mbona hapo kwa wema sepetu ameparudia sanaa, embu nifunge mdomo wangu mie nilishasema sitaki tena ule ushabiki niliokuwa nao mwanzo Nifah is watching me [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Afadhari wewe umegoma kuwa mshabiki maandazi,mtu anashabikia hata kitu cha wazi kabisa
 
Kwa sisi tunaojua muziki tunaelewa ila kwa wale die hard fans hii kitu hawawezi kuielewa,kwanza hiyo habari ya alli kiba kusainiwa sony mi sioni kama ni ngeni maana kumbuka kipindi wamefanya ngoma na R kerry lakini cha maana hakuna,nabhata huo wimbo wake mpya wa "waje" ni mbaya sana na hauna mvuto kabisa,,na huyu ben pol ndio kwa heli kabisa maana hiyo ngoma yake mpya ya moyo mashine nayi ni mbovu kupita maelezo,ila tu kwa kuwa wameshatengeneza majina basi zitashika chat tu
NB: pamoja na ubaya wa nyimbo hizo mashabiki wasiojua miziki watasifia tu
Thread yako haina ushawishi wowote! Hivi wamepotea kuanzia lini?
 
Back
Top Bottom