BANDOKITITA
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 1,484
- 2,852
Wewe huiogopi Yanga??Huyu Mmoroko anawaghalimu sn Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana Kuna muda walikuwa km hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
sio mmoroco ni mcomoroHuyu Mmoroko anawaghalimu sn Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana Kuna muda walikuwa km hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
swali mjarabuVipi Azam wamepewa bahasha?
Naona ishu ya bahasha wameweka pembeni😅swali mjarabu
Vipi Simba alimfunga ngapi huyo kipa? Tukubali tu ubora wa timu pinzani.Huyu Mmoroko anawaghalimu sn Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana Kuna muda walikuwa km hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Hata ya Jezi NyeusiNaona ishu ya bahasha wameweka pembeni[emoji28]
Unaweza kumlam kwa goli la 3 ila asikuambie mtu! Mipira inayokuja ikadunda inachanya sana makipa! Huwa inabadilisha directionHuyu Mmoroko anawaghalimu sn Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana Kuna muda walikuwa km hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Wewe si ulicheza nao? Hebu tukumbushe matokeo yalikua vipi?Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
No fei no problem 🥰🥰🥰Mchawi kishapatikana wa kutupiwa lawama. Angeshinda Azam leo Yanga tungekoma. Maana mikia, Azam plus deal la Feisal.
Hamna kipa hapoHuyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Hebu fanya kurekebisha kwanza maelezo yako. Ali Ahmada anatokea Visiwa vya Comoro! Na siyo Morocco!Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Ni bora ya Ahmada kapangua shuti la Azizi ki vipi yule ambaye akuliona kabisa shuti la Aziz ki akaishia kudaka hewa🤔🤔🤔Huyu Mmoroko anawaghalimu sana Azam, na sjui kwa nini kocha nae haoni. Pole yao kwa leo.
Ila Azam nahisi leo walikuwa wanamuwaza Feisal maana kuna muda walikuwa kama hawapo uwanjani huku wakikosa magoli ya wazi.
Goli gani bovu kafungwa?Golikipa mzigo, sijui walitumia vigezo gani kumsajili.