Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
- #21
Kawaida mechi zote tatu wanazokutana kuwapatia magoli? Unadhani kwa nini mechi ya kwanza watu hawakusema mpaka walipoona imekuwa tabia? Nambie mchezaji aliyefungisha team yake mara tatu dhid ya team ile ile huko kwingine.
Mimi nakataa tafuteni clip za wachezaji hawa wa Manchester united,Roy Keane na Wesbrown ni kawaida sana kwa mchezaji lakini kama hujawahi hata kucheza chandimu utakuwa huelewi mpira ulivyo