Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
- Thread starter
-
- #21
Mimi nakataa tafuteni clip za wachezaji hawa wa Manchester united,Roy Keane na Wesbrown ni kawaida sana kwa mchezaji lakini kama hujawahi hata kucheza chandimu utakuwa huelewi mpira ulivyo
mikia FC hao ndo zao shem.
Huko ndo kuichangia yanga sio lazma utoe hela kuichangia, afu mjue huyo Ally ally ni Mdogo ake canavaro wanatoka sehemu moja na akiwa hapa dar anaishi kwa kanavaro yeye na feitoto na Ninja, kama uliangalia mpira ulivoisha ally ally na ninja walipiga stori kwa mda kidogo
Simba ni sawa na ndege isiyo na engine
Angular velocity Ο = v/r,..mpira alioupiga Ajibu ni Physics... Inabidi wanasayansi wa Mlimani wakae chini waumize vichwa...acheni kumlaumu Ally Ally
Anachachawa tu na timu ya Wananchi Mtani.mechi ya round kwanza alisababisha faulo ambayo fei Toto alifunga, mechi ya juzi tena hii kawawezesha jamaa kupata ushindi? Uokowaji gani ule?, kweli sasa naamini pesa na mpesa.
Hivi Neno transaction kwa kiswahili unasemajeTukumbushane assists
za ALLY ALLY VS YANGA
1. Yanga vs Stand United ,2018
Shuti toka kwa Yusuf Muhilu ally ally akajifunga ktk harakat za kuokoa mpira
2. KMC VS YANGA ,2019
*ALLY ALLY alisababisha faulo katika nje ya penat area na hatimaye FEISAL SALUMU Kufunga bao la ushindi
3. YANGA VS KMC 2019
Kroc iliyopigwa na IBRAHIM AJIB ikamkuta ALLY ALLY aliyejifunga KWA KICHWA SAAFI KABISA na kupelekea ushindi kwa Yanga katika harakat za kuokoa mpira huo.
Na huo ndo UMUHIMU WA ALLY ALLY kwa YANGA na ndio mchango wake wa kuisaidia Yanga.
Ni mchezaji wa kutegemewa wa Yanga anayechezea team pinzani zinazokutana na Yanga ila mchango wake ni Mkubwa sana
Kwa simba hii ya thamani ya billion mmoja na ushee mgeni gani alikuja pale taifa akatoka salama; tulishawaambia pale hata aje Barcelona, tena Barcelona ile ya kina xavi,inesta acha hii ya kina dembele na coutinhoMtaongea yote mpaka mmalize Wakuu ila kumbukeni AS Vita kesho kutwa wapo Dar.
Hivi mtani mambo ya ally ally yangetokea kwetu, kwa unavyomjua zahera mbwatukuji anayeamini simba inatoa million 10 kila mechi ingekuwajeMwisho wa siku hizi POROJO zinabaki kuwa kama POROJO zingine tu.
NISEME TU YALIYOPITA SI NDWELE GANGENI YA VIPORO VYENU.
haha hata Mimi naona mtaniAnachachawa tu na timu ya Wananchi Mtani.
π π π ALLY ALLY KAJUA KUWATESA SANA MIKIA SHEMELA.mikia FC hao ndo zao shem.
sana tu shemela.......π π π ALLY ALLY KAJUA KUWATESA SANA SHEMELA.
Hahaaaaa. Mtani hivyo mnaongea tu ili kumlipizia Zahera?Hivi mtani mambo ya ally ally yangetokea kwetu, kwa unavyomjua zahera mbwatukuji anayeamini simba inatoa million 10 kila mechi ingekuwaje
Duuuuh!! Hii kiboko, sikuijua mimi.Huko ndo kuichangia yanga sio lazma utoe hela kuichangia, afu mjue huyo Ally ally ni Mdogo ake canavaro wanatoka sehemu moja na akiwa hapa dar anaishi kwa kanavaro yeye na feitoto na Ninja, kama uliangalia mpira ulivoisha ally ally na ninja walipiga stori kwa mda kidogo
Tunakubali kujifunga kupo ila hii ya Ally Ally ni suspicious, mechi za Yanga tu?Mimi nakataa tafuteni clip za wachezaji hawa wa Manchester united,Roy Keane na Wesbrown ni kawaida sana kwa mchezaji lakini kama hujawahi hata kucheza chandimu utakuwa huelewi mpira ulivyo
Sijui tukiwafunga na wakongo wenzake atasema tumewapa 10% piaHahaaaaa. Mtani hivyo mnaongea tu ili kumlipizia Zahera?
Ally Ally amezidi bana, anaishusha hadhi professionMwisho wa siku hizi POROJO zinabaki kuwa kama POROJO zingine tu.
NISEME TU YALIYOPITA SI NDWELE GANGENI YA VIPORO VYENU SASA.