rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Ombaomba anaweza akanunua mechi!!?Halafu yanga ndio was kwanza kulalamika timu zinanunua mechi wakati kumbe ni mchezo wao
π π πNa hawawezi kwa soka La uwanjani pekee cha kushukuru wakongo kwenye uchawi wapo vizuri .....
Simba walale juu ya bahari vita watalala hewani ....balaaa lipo kwa mkapa j mosi ......
Naitakia vita ushindi wa kishindo
Sent using Jamii Forums mobile app
π³π³π³Njano na kijani tu ndio imekuchanganya hapo wala sio Mtu wa Timu ya wananchi huyo.
mkuu yametimia mpemba kaenda madimbwinimsimu ujao najua dogo lazima mumchukue
mkuu yametimia mpemba kaenda madimbwini
ndo huyu huyu mkuu, si unajua tabia ni kama ngozi huwezi itoa