Ally Bananga: Nikifika mbinguni (peponi) nikikuta Mama Samia hayupo natoka peponi

Nakwambia hatakuwepo peponi na utakwenda naye jehanamu acha kufuru wewe, unafikiri Mbinguni ticketi ni ushungi?
 
Amemaliza maneno yate, ila njaa mbaya. Siasa ni umalaya..
 
Na nyie wafia dini acheni kukuza mambo, huko mbinguni kama kwenda kasema atakwenda yeye, kama hakumkuta atatoka yeye, sasa hiyo ni kesi ya yeye na Mwenyezi Mungu wake, vipi mnaanza kutoa tena hukumu dhidi yake?? sasa mtakuwa na tofauti gani kati yenu na yeye??
 
Ally kaombe toba kwa Mungu. Watu mnaopewa fursa adhimu ya kuongea na Rais wa nchi (sio rais wa Yanga) hadharani msimdhalilishe. Haya ndio masifa yaliyomtoa mwendazake duniani. Uwezo wako wa mwisho ni udiwani na upiga debe. Unataka Rais akusaidie nini? Stupid!
 
Wanasiasa wakikutana kwenye mambo yao waachie na mambo yao.
 
Hatari sana
 
Msaka fursa ni mtu wa kumwenea huruma,kalishwa na mke wake muda mrefu anafahamu Hai na Arusha kuna nafasi.
 
Wakristo, hasa wale wanaomkiri Yesu Kristo na kuiamini Biblia Takatifu, tumeaswa tusilumbane na wasiomjua na kumuamini Yesu Kristo na neno lake, yaani Maandiko Matakatifu, Biblia.

Hilo ni katazo kutoka kwa Mungu wetu, Yehova, sasa nyie mnaotaka kulumbana na Ally Bananga juu ya aliyosema ni kwenda kinyume na maagizo ya Mungu, Yehova.
 
unatoa hukum ww kama nan?
Someni basi Maandiko matakatifu .
Mtese watu , mpige risasi watu , mfunge watu bila hatia na muuwe watu..
Kwa nini msiende motoni.
Samia atawaongoza MaCCM wote kuelekea JEHANAMU hamtoki.
Na huo ndio kweli. Tendeni HAKI kama mnaitaka pepo kweli.
 
Hakuna aliyemdhihaki Mwenyezi Mungu akabaki salama, tumpe muda. Kuingia peponi sio sawa na kutoka ccm kuingia chadema na kurudi ccm. Eti mtu anadai kuwa kapewa pepo na Mungu kisha kufika mbinguni akamkose huyo na kuamua kurudi. Njaa hajawahi kumuacha mtu salama.
 
Kwenye kuhama chama na mengine mengi sina tatizo. Kuhusu hilo la viongozi wa dini kubaki vinywa wazi, wao ni akina nani kuzuia watu wasiseme yaliyo moyoni mwao?
 
Mwarabu toleo la mwisho na wala hakuwa na kizazi endelevu wala endelenyuma Bilal bin Rabbah? Hivi waarabu na watu weusi wapi na wapi. Quran inasema mtu mweusi ni mwenye dhambi na anaishi Afrika.
 
Anzisha uzi nitakupa majibu ya maswali yako yote

Hapa si sehemu ya Mjadala husika
Mwarabu toleo la mwisho na wala hakuwa na kizazi endelevu wala endelenyuma Bilal bin Rabbah? Hivi waarabu na watu weusi wapi na wapi. Quran inasema mtu mweusi ni mwenye dhambi na anaishi Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…