Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Ugua pole kuna jamaa mmoja amewahi kuniambia mambo kadhaa kuhusu huyu kiumbe zamani hizo alikuwa moto wa kuotea mbali.
 
20180905_213556.jpg
 
Sijui kwanini only in Tz mtu akiumwa cha kwanza watu huwaza ni 'Ngoma'.... ajabu wengine hufurahi kabisa na 'nilijua' kibaoooo.

Ni ukosefu wa elimu au chuki iliyopitiliza?

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.

Ni kweli unachosema mkuu ila kwa huyu hapana, Jifunze kuwa sio kila kitu ni chuki hawa wasanii ni kama raia wengine tunaishi nao na tunawaona , Mzee wa farasi enzi zake alikuwa moto wa kuotea mbaliiii.

Banza Stone, Msafiri Diof, Adolf Mbinga, Fergerson Hii timu ilikuwa balaa sana enzi hizo.


LISEMWALO LIPO.
 
Back
Top Bottom