Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Ally Choki alazwa Bugando, hali tete

Wakuu NGOMA HAINA MWENYEWE,,,, usijione SHUJAA KUKOSA NGOMA,,,na USIMUONE MJINGA ALIYEPATA NGOMA,,,kikubwa ni KUSHUKURU MUNGU,,,,WENGI wetu TUMEOA,,au WAPO WALIOOLEWA,,je UNAJUWA ANACHOKIFANYA MWENZIO UKIWA MBALI NAE? tena natoa USHAHIDI ,,,HAKUNA MWANAMKE mwepesi kumtafuna kama mke wa MTU,,,JE TUTAPONA KWELI?, tuwe na SITARA KWA WAATHIRIKA WAKUU,,,
 
Tokea tukio hilo ndipo nilipoamini kwambabaadhi ya wasanii wanatumia ndumba kutuchota tuwapende na wavume,alikuwa juu sana mpaka mganga yule alipojitokeza na kudai kudhulumiwa na muumin na kuhaidi atamfelisha,na kweli mambo ya muumini kuanzia pale yalienda kombo mpaka leo akapotea jumla.
Hakuna cha uganga wala uganguzi. Ni mambo ya nyakati vs mipango. Usanii uko sensitive sana na nyakati na matumizi. Ukipata leo kama hukupanga mipango ya kesho muda wako wa kuvuma ukiisha utabaki kuwa ombaomba tu!
 
Hakuna cha uganga wala uganguzi. Ni mambo ya nyakati vs mipango. Usanii uko sensitive sana na nyakati na matumizi. Ukipata leo kama hukupanga mipango ya kesho muda wako wa kuvuma ukiisha utabaki kuwa ombaomba tu!
kama Diamond atakavyokuja kuwa omba omba
 
kama Diamond atakavyokuja kuwa omba omba
Siyo Diamond tu ila ni msanii yoyote asiyepanga mapato na matumizi! Kama na yeye hayuko makini basi hatasalimika. Tena nafuu mwanamme lakini hawa dada zetu wanaotegea kuishi kwa ruzuku za wanaume huku wakitumia usanii kama kisingizio mara wanapoanza ku expire ni hatari kabisa.
 
Siyo Diamond tu ila ni msanii yoyote asiyepanga mapato na matumizi! Kama na yeye hayuko makini basi hatasalimika. Tena nafuu mwanamme lakini hawa dada zetu wanaotegea kuishi kwa ruzuku za wanaume huku wakitumia usanii kama kisingizio mara wanapoanza ku expire ni hatari kabisa.
[emoji106]
 
Kuna swali nimeulizwa hapa sasa hivi na Mpwa wangu kuwa UKIMWI / DALLY KIMOKO uligundulika lini duniani na ni Mwafrika gani wa Kwanza kutoka Afrika ya Mashariki aligundulika nao nimeshindwa kumjibu na ili ' Kumzuga ' nimejifanya nimetoka nje naongea na Simu kumbe sijui jibu lake na bado amekaa Sebuleni ananisubiria nimpe jibu kwani anasema hilo Swali anahisi Kesho litakuwepo katika Mtihani wao wa Kumaliza darasa la Saba. Naombeni msaada jamani ili nisiumbuke!
Hama kwa dada yako kapange
 
Back
Top Bottom