Fyokofyoko baada ya kustaafu[emoji26] [emoji26] [emoji26]Hakika hawa vijana ni mfano wa kuigwa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa dar kijana machachari paul makonda ,wamekuwa wakinivutia sana pia na kijana william malecela au lemutuz nae ni mfano wa kuigwa na vijana wengi ambao wanalialia kuajiriwa badala ya kujiajiri
kwa nini wanywe CHAI.........??!!Wakaribishe nyumbani kwako mnywe nao chai
Ukitekwa utasema umeonewa ...? 😀😀Wewe ni kichaa hiyo ndio timu ya wapanga mauwaji na kuteka watanzania kwa kupewa kauli kutoka juu.
Swessme
Kwa hiyo lemutuzz ni kijana?Hakika hawa vijana ni mfano wa kuigwa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa dar kijana machachari paul makonda ,wamekuwa wakinivutia sana pia na kijana william malecela au lemutuz nae ni mfano wa kuigwa na vijana wengi ambao wanalialia kuajiriwa badala ya kujiajiri
Njaa tuuh, hamna lolote..!Hakika hawa vijana ni mfano wa kuigwa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa dar kijana machachari paul makonda ,wamekuwa wakinivutia sana pia na kijana william malecela au lemutuz nae ni mfano wa kuigwa na vijana wengi ambao wanalialia kuajiriwa badala ya kujiajiri
Ni mstaafu?Le Mutuz sio kijana, kazaliwa 1963.