LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Hakika hawa vijana ni mfano wa kuigwa wakiongozwa na mkuu wa mkoa wa dar kijana machachari paul makonda ,wamekuwa wakinivutia sana pia na kijana william malecela au lemutuz nae ni mfano wa kuigwa na vijana wengi ambao wanalialia kuajiriwa badala ya kujiajiri