Ally Hapi: Rais Samia amefanya super sub, wale jamaa wasitegemee huruma

Ally Hapi: Rais Samia amefanya super sub, wale jamaa wasitegemee huruma

Papaa Mobimba

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2018
Posts
882
Reaction score
3,337
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Ali Hapi akizungumza katika hafla ya mapokezi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM amesema kuwa CCM imeingia kwenye mapambano, hivyo upinzani wasitegemee huruma.


"Naomba wakati huu ambao tunaingia kwenye mapambano niwaambie wale jamaa wa upande wa pili (vyama vya upinzani) ambao kazi yao ni kelele tu, Rais amewatengenezea mazingira mazuri wanafanya mikutano, wanafanya shughuli zao nyingine, wamepewa ruzuku lakini shukrani hawana, na niliwasikia wengine wanalalamika kwenye uchaguzi mdogo wanasema kwamba mbona hawajatuachia, yaani CCM ifanye kazi ya kuwaachia kata kweli?

Wasitegemee huruma uchaguzi ni kazi na malengo yetu ni kuendelea kushika dola, na sisi tuko tayari kuendelea kukiendesha chama chetu, muda wa kuoneana huruma umekwisha, mikutano wote tunafanya, kujipanga wote tunajipanga habari za kubebwa hazipo, twende kwa wananchi tukatafute kura, twende kwa wananchi tukarejeshe na kuongeza heshima ya ushindi wa CCM"


 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Ali Hapi akizungumza katika hafla ya mapokezi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM amesema kuwa CCM imeingia kwenye mapambano, hivyo upinzani wasitegemee huruma.


"Naomba wakati huu ambao tunaingia kwenye mapambano niwaambie wale jamaa wa upande wa pili (vyama vya upinzani) ambao kazi yao ni kelele tu, Rais amewatengenezea mazingira mazuri wanafanya mikutano, wanafanya shughuli zao nyingine, wamepewa ruzuku lakini shukrani hawana, na niliwasikia wengine wanalalamika kwenye uchaguzi mdogo wanasema kwamba mbona hawajatuachia, yaani CCM ifanye kazi ya kuwaachia kata kweli?

Wasitegemee huruma uchaguzi ni kazi na malengo yetu ni kuendelea kushika dola, na sisi tuko tayari kuendelea kukiendesha chama chetu, muda wa kuoneana huruma umekwisha, mikutano wote tunafanya, kujipanga wote tunajipanga habari za kubebwa hazipo, twende kwa wananchi tukatafute kura, twende kwa wananchi tukarejeshe na kuongeza heshima ya ushindi wa CCM"


Mtu aliyetoka kwenye kulima nyanya anajua nn,mlima nyanya na viazi hajui siasa,ndio maana anawataja wapinzani na hajui kwamba trip hii wapinzani wako ndani ya CCM.Alli hapi ameshapwaya tayari na hajui kinachoendelea angerudishwa akaendelee kulima nyanya tu.
 
CCM Oyeeeeee!

Kidumu Chama Cha Ukombozi.

Piiiiiiipoz mmesikia? Hakuna huruma huruma, hata mkimtumia yule "Kivutio" chenu! -Ujumbe uwafikie
 
Huyu kunguni bora angeachwa tu andelee kuuza pilipili hana adabu kabisa. Na kwa kibri hii aliyoingia nayo hachukui round.
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Ali Hapi akizungumza katika hafla ya mapokezi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM amesema kuwa CCM imeingia kwenye mapambano, hivyo upinzani wasitegemee huruma.


"Naomba wakati huu ambao tunaingia kwenye mapambano niwaambie wale jamaa wa upande wa pili (vyama vya upinzani) ambao kazi yao ni kelele tu, Rais amewatengenezea mazingira mazuri wanafanya mikutano, wanafanya shughuli zao nyingine, wamepewa ruzuku lakini shukrani hawana, na niliwasikia wengine wanalalamika kwenye uchaguzi mdogo wanasema kwamba mbona hawajatuachia, yaani CCM ifanye kazi ya kuwaachia kata kweli?

Wasitegemee huruma uchaguzi ni kazi na malengo yetu ni kuendelea kushika dola, na sisi tuko tayari kuendelea kukiendesha chama chetu, muda wa kuoneana huruma umekwisha, mikutano wote tunafanya, kujipanga wote tunajipanga habari za kubebwa hazipo, twende kwa wananchi tukatafute kura, twende kwa wananchi tukarejeshe na kuongeza heshima ya ushindi wa CCM"


happi wewe ni mpumbavu sana
 
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Ali Hapi akizungumza katika hafla ya mapokezi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM amesema kuwa CCM imeingia kwenye mapambano, hivyo upinzani wasitegemee huruma.


"Naomba wakati huu ambao tunaingia kwenye mapambano niwaambie wale jamaa wa upande wa pili (vyama vya upinzani) ambao kazi yao ni kelele tu, Rais amewatengenezea mazingira mazuri wanafanya mikutano, wanafanya shughuli zao nyingine, wamepewa ruzuku lakini shukrani hawana, na niliwasikia wengine wanalalamika kwenye uchaguzi mdogo wanasema kwamba mbona hawajatuachia, yaani CCM ifanye kazi ya kuwaachia kata kweli?

Wasitegemee huruma uchaguzi ni kazi na malengo yetu ni kuendelea kushika dola, na sisi tuko tayari kuendelea kukiendesha chama chetu, muda wa kuoneana huruma umekwisha, mikutano wote tunafanya, kujipanga wote tunajipanga habari za kubebwa hazipo, twende kwa wananchi tukatafute kura, twende kwa wananchi tukarejeshe na kuongeza heshima ya ushindi wa CCM"


and that is very true 🐒

yaan chama kinalenga kujizatiti kushika dola, kuunda serikali, kuwaongoza na kuwatumikia wanainchi, halafu eti kisikilize chama kingine kinacho lalamika kuibiwa kura wakati hakifanyi mikutano, hakina sera na wala hakikubaliki kwa wanainchi?🐒

CCM haiwez kuona haya, wala aibu kuomba kura hata kwa kugalagala kwenye matope kuwaomba wanainchi kukichagua tena na tena kuwatumikia 🐒

vyama vingine si wanashangaa na kuona ni maigizo?🐒
 
Back
Top Bottom