cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ukweli mtupuu.Mungu anakuona ujue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mtupuu.Mungu anakuona ujue
Waaxhe upumbavu kuikuzs hii. Ukiwa katika hizi taasisi mbili unapaswa utegemee kila aina ya madongo.BAADA YA KUDHIHAKIWA NA ALIKAMWE, JUMA MGUNDA AMPA JIBU
[emoji2788]"Yanga ni Club yetu pekee Tanzania inayotuwakilisha kwenye fainaly hii ya CAF na kwa bahati iliyonjema inacheza na Club Inayotoka nje ya nchi yetu.
[emoji2788]Sijui kinachopelekea mimi kuwa miongoni mwa kampeni hii ya matusi na kunidhalilisha Nilidhani kampeni itakuwa ni kushinda fainally, kuliko hiki alichokifanya Mwanangu Ally Kamwe.
[emoji2788]Namuombea kwa Mungu awe na mwisho mzuri, mimi nimeshuhudia watu wengi wakifanya kazi Yanga na Simba na sasa wapo nje ya mfumo.
[emoji2788]Kama nilipaswa kutukanwa ili Yanga ishinde basi nimekubali ili Taifa langu lijivunie .
[emoji2788]Tusiposhinda kesho nitashangaa sana kwanini tumefungwa wakati kilichotakiwa kifanywe kimefanywa juu yangu na familia yangu" Kocha Juma Mgunda.
Akiwa ktk kampeni za mechi ya tarehe 28/05/2023 huko Zakhiem Mbagala aliwauliza mashaabiki kati ya "Mgunda na andazi" utachagua nini. Mashaabiki wakaitikia "andazi" . Hakutosheka akauliza tena"kati ya wasimamizi wa Feisal na andazi utachagua nini. Mashaabiki tena wakajibu "andazi".
Sasa mimi kama mtu mzima naona Ally Kamwe alichofanya ni utovu wa nidhamu na ukosefu wa malezi na makuzi ya wazazi wake. Huwezi kumlinganisha mtu mzima mwenye umri sawa na baba yako na "andazi".
Mgunda amekuwa Hana utani wa Simba na Yanga hata ktk media sjawahi kumskia akitoa maneno ya shobo kwa Wana Yanga. Iweje leo mbele ya watu tena wa rika tofauti tofauti umlinganishe na andazi.
Haya sasa kakujibu kiutu uzima kama baba. Kazi kwako.
Yule mtoto Kamwe Hana adabuSasa hii ya Mgunda aliidhamiria binafsi, km akishataja Kolo, iweje amtaje mgunda personal?
Huoni ni personal attacks??
Na imefanya kaziHii ni laana kamili!!!
Muulize Manara atakuambia alivyopelekewa moto na Karia baada ya kuchutama.
Kuna muda namna nzuri ya kumfundisha mtu ni kupitia adhabu. Sio kila kichwa kina uwezo wa kujifunza kupitia msamaha. Ukifuatilia mfululizo wa matamshi ya huyo jamaa utagundua sio msamaha unaomfaa.
Akaropokeee tenaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule mtoto Kamwe Hana adabu
unauhakikaUkweli mtupuu.
Usishangae, huyo anatafuta popularity.Duh ndo shida ya kufanya kazi kwa mihemko mi uwa nashangaa kwanini afisa habari anakua na mipasho mipasho wanadhalilisha sana usemaji wa club.
Deal donebasi tuelekeze dua sasa yanga ifungwe leo ili ku-balance story
Watoto wadogo wanapewa vyeo vinavyowazidi uwezo.Mimi najiuliza dogo alikuwa anatafuta nini? Mgunda ameingiaje?
Kwa hiyo wewe ulivyoambiwa ukachekea?Wajinga mko wengi kwahiyo hili Jambo nalo limekuwa na laana?, Ujuha mwingine bana. Kwahiyo wewe hujawahi ambiwa bora Ng'ombe kuliko wewe?.
Acha kuchukulia kila jambo kuwa halisi! Kwahiyo Roma akamatwe na CCM kisa kaimba andazi n Bora kuliko wao?.Kwa hiyo wewe ulivyoambiwa ukachekea?
Inabidi uchunguzwe kama kichwani ni salama!!
Hana cha kujifunza yy alitoka hadhari mtaanzisha comedy show ya kutucheka simba watu wakakemea sana na bado anafanya upuuzi wake na anaemtuma ni hersiPole kwa Mgunda na sisi Wana Timu ya Wananchi tunazidi kumuombea radhi Ally Kamwe.
Japo kwa hatua aliyokuwa amefikia alikuwa amejisahau yeye ni nani ndani ya Timu ya Wananchi na ndio hata kuna wakati alikuwa akiongea na waandishi ye anajibu tu kama mtu wa kijiweni na kuisahau nafasi yake.
Kwa alichokifanya jana ni dhahiri amepata cha kujifunza na siku nyingine hatofanya vitu kwa mihemko.