Ally Kamwe msemaji wa Yanga afungwe break, Haya sasa Mzee wa watu kakujibu kiutu uzima

Waaxhe upumbavu kuikuzs hii. Ukiwa katika hizi taasisi mbili unapaswa utegemee kila aina ya madongo.

Dejan, Rage, Ykipe, Mo dewji, Manar, Ahmed Ally, Babra na watu kibao wameshapigwa sana madongo katika hii tasnia.Why leo mgunda?

Utani wa jadi utabaki palepale.

NA MIMI NAKAZIA , KATI YA MGUNDA NA ANDAZI TUTACHAGUA ANDAZI..!
 
Mimi najiuliza dogo alikuwa anatafuta nini? Mgunda ameingiaje?
Watoto wadogo wanapewa vyeo vinavyowazidi uwezo.
Mtoto ananuka maziwa ya mama yake anapewa majukumu mazito ambayo hajui hata mipaka yake.
Ukurugenzi wa habari katika club siyo madaraka madogo. Kuisemea club kunahitaji hekima, siyo kubwabwaja tu ili kuwafurahisha mashabiki.
 
Kwa hiyo wewe ulivyoambiwa ukachekea?

Inabidi uchunguzwe kama kichwani ni salama!!
Acha kuchukulia kila jambo kuwa halisi! Kwahiyo Roma akamatwe na CCM kisa kaimba andazi n Bora kuliko wao?.
 
Hana cha kujifunza yy alitoka hadhari mtaanzisha comedy show ya kutucheka simba watu wakakemea sana na bado anafanya upuuzi wake na anaemtuma ni hersi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…