Pre GE2025 Ally Keissy asema atagombea Ubunge mwakani kwa sababu Mbunge wa CHADEMA hakuna alichofanya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kessy hana jipya na ni mtu mnafiki sana!

Huyu ndo alikuwa anasema Magufuli atake asitake watamuongezea muda wa kuwa Rais wa Tanzania.

Njaa ndo inamsumbua kugombea Ubunge wala si kuwasaidia Wananchi wa Nkasi!
Mimi ni mwana CCM lakini viongozi wanafiki wanafiki kama huyu Kessy hawakisaidii Chama Chetu!

CCM Nkasi watafute mgombea mpya mwenye mawazo mapya ya kuwaletea Wana Nkasi maendeleo.

Huyu Kessy kama hana kazi basi atafutiwe hata kazi ya kuchunga mbuzi huko! HANA JIPYA!
 
Kwanza mbunge mwenyewe aliyeko Nkasi ni chaguo la Magufuri kwa kiini macho kuwa ni mbunge wa CHADEMA ili hali 100% huyo mama ni ccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…