Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hujatukanwa umeambiwa ukweli tupuEmbu acha ujinga wako hapa wewe.sasa unanitukana kwa kosa gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujatukanwa umeambiwa ukweli tupuEmbu acha ujinga wako hapa wewe.sasa unanitukana kwa kosa gani.
0-0=0Hujatukanwa umeambiwa ukweli tupu
Shetani wewe, jimboni pale kuna DED, TRA, DC, DAS na taasisi zingine, mbunge anakusanya kodi?
Mbunge anakusanya kodi? shetani wewe hujui hata nchi inavyoendeshwa0-0=0
Sasa nitaanzaje kukuelekeza wakati najuwa wewe ni 0. 0 ni 0 tu hata nikikueleza bado utabakia kuwa 0 na kubakia 0Mbunge anakusanya kodi? shetani wewe hujui hata nchi inavyoendeshwa
Mbunge ni mpiga domoPia mbunge anakusanya kodi?
Ndiyo Akagombee HukoZanzibar imefanya nini
Kessy hana jipya na ni mtu mnafiki sana!Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.
Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.
Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.
Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.
Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.
Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa BungeniView attachment 3114042
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Siyo kwamba apumzike na kuachia wengine.Ndiyo Akagombee Huko
Mwenyekiti 😂😂😂Zanzibar
Aida atashinda kabla ya saa 3 asubuhi.Kuitamka
ulafi ni dhambi kubwa itakayowayesa sana waliopitisha mapato ya aiabu Kwa wabunge Kwa mawazo ya wao kubaki kujichotea keki kubwa kuliko kazi waifanyayo.Wakati ukifika itajulikana.
Hawezi akapita tena .atapita na kushinda mwana CCMAida atashinda kabla ya saa 3 asubuhi.
Kwanza mbunge mwenyewe aliyeko Nkasi ni chaguo la Magufuri kwa kiini macho kuwa ni mbunge wa CHADEMA ili hali 100% huyo mama ni ccm.Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Zamani Wa Nkasi kaskazini Ally Keissy aliyekuwa na kila aina ya vituko na Mbwembwe ndani ya Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tanzania,amesema ya kuwa anajipanga tena kugombea ubunge hapo Mwakani na kwamba hajaondoa dhamira hiyo.
Amesema mbunge aliyepo kwa sasa ameshindwa kutekeleza miradi mbalimbali ambayo yeye alikuwa ameibuni kwa ajili ya wana Nkasi.
Itakumbukwa ya Kuwa Mbunge huyo wa Zamani aliyehudumu kwa vipindi vitatu alidondoshwa chini na Mwana Mama kutoka CHADEMA Aida Khenani aliyepata kura elfu 21,229 ,huku Ally Keissy kutoka CCM akipata kura Elfu 19,972.
Mbunge huyo pia anakumbukwa kwa kauli zake na matukio yake mbalimbali ikiwepo yale ya kutifuana kikauli na wabunge wa kutokea Zanzibar mpaka kufikia hatua ya kunusurika kupigwa ngumi . Lakini pia amewahi kuwa gumzo na kuleta mijadala mitaani mikali sana juu ya kutaka na kupendekeza kubadilisha katiba ili kumuongezea muda wa kuongoza na kutawala Rais.kwa kauli kuwa katiba siyo msaafu au Biblia.
Nini Maoni yako juu ya Nia ya Mheshimiwa Mstaafu wa Ubunge kutaka kurejea tena Bungeni.Una mshauri agombee au awaachie wengine kutoka CCM waje na mawazo mapya na nguvu mpya ili yeye abakie tu kama mshauri. Ni kwanini mtu akiingia bungeni hataki kukubali kukaa pembeni ili kupisha wengine kama ilivyo kwenye Urais. Bungeni kuna nini ndugu zanguni ambacho wengine hawataki kuwapa hata nafasi vijana ili wakapeleke mawazo yao huko.
Nauliza tu ndugu zanguni kwa lengo zuri tu.Hii hapa ni picha yake wakati huo akiwa BungeniView attachment 3114042
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shetani wewe jifunze uwe na utamaduni wa kujisomeaSasa nitaanzaje kukuelekeza wakati najuwa wewe ni 0. 0 ni 0 tu hata nikikueleza bado utabakia kuwa 0 na kubakia 0
Ni mwakilishi wa wananchi na siyo mkusanya kodiMbunge ni mpiga domo
Wewe na 0 yako huna cha kunielezaShetani wewe jifunze uwe na utamaduni wa kujisomea
wewe unapiga kura huko? au wewe ni nape utamwomba MUNGU msamaha?Hawezi akapita tena .atapita na kushinda mwana CCM
Mjinga wewe, mbunge ni mwakilishi wa wananchi ndiyo maana hapo kuna DC/DAS/DED hawa ni wawakilishi wa serikali, mshamba mkubwa usiye na akili timamu, hivi chuo cha utumishi Tabora ulikuwa unasoma nini?Wewe na 0 yako huna cha kunieleza