Tuanzie kwenye uraisi, ile ni nafasi ya Wa Bara, cha ajabu tunaongozwa na mzanzibari, shida ndo inaanzia hapo, kina lukuvi na Ndugai walikuwa sawa kabisa kuipigania nafasi yetu. Hatupendi na sio sawa kabisa kuongozwa na wazanzibari watu ambao tunawasaidia kila kitu.