Ally Kiba acha mziki kaimbe kaswida

huo ni ukweli kbs diamond anamsaidia sana kiba kwwnye swala zima la kick
Mkuu nimesahau,hivi nani alianza kutoka kwenye game na kumsaidia mwenzake aliyekuwa underground kati ya Mondi na Kiba? ?
 
Ali Kiba ni kijana mbunifu sana kwenye muziki. Cheki ubunifu wa hali ya juu kwenye huu wimbo wake

Mkuu hii yule jamaa wa tandale ataimba mpaka mwisho wa dunia hataweza kufika hizi level
 
We una umri gani?mziki umeanza kufuatilia lini?hebu muulize huyo diamond akutajie watu waliomshika mkono kabla hajawa huyu unaemuona leo,nyie watoto mnatusumbua sana humu kila kukicha mnaleta utoto.
Hats huwa hantaji ndo ww na kusikia
 
wala huna point msione wenzenu wamefanikiwa unatfta na ww kijiujinga chako kwa wezenu we umefanya nn cha maana sasa sema na we tukuone .
 


Na wewe imba utembelee nyota ya daimond.
 
Kiongozi mimi sina team napenda mziki mzuri.. kiba ana ubora wake ndio maana tunamjua na diamond ana ubora wake pia.. tunatakiiwa tuwasupport wote kama vjana walioamua kufanya kazi na kuacha kuiba au kupora mitaani.. lets support them kwa hali na mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…