Ally Kiba amjibu baba Abdul Naseeb

Ivi katajwa eeh! Au jiwe gizani kilamtu apambane na mziki wake.
Bila Diamond hampati kiki za ku release vijimbo vyenu maana kwa mwandiko wake huo kuna kajimbo ka kuishia kibaha kanakuja[emoji23][emoji23][emoji23] team stress am soreeeeee
 
Watanzania kwa unafiki na ufitini hamjambo,Sasa hapo kamjibu nini?
wapi kamtaja?Acheni ungese wa kufuatilia wanaume wenzenu na kuwalisha maneno,Hii nchi inawatu wa ajabu kabisa.
 
Alikiba ni kichwa maji sana badala adondoshe wimbo muda huu amepewa support na Mond yeye ana kalia kujiita King utafikiri uking unaliwa ....
King Kiba badilika una wasononesha mashabiki wako....
 
Ahahaaaa kibakuli bwana. Hata Julian wa kwenye animation ya madagascar ni king. Ashukuru leo anaongelewa.
Bila chibu angepata wapi cha kupost
Maana Hata nyimbo tena Hamna,haongelewi kabisa.. Sasa hivi amepata chance ya Ku trend na bila ya fresh ya fid q aisee asingepata cha kuongea Leo.
 
Kuna nyingine ametweet eti anajua anamhate 100% but he don't give a fu@###
 
Wimbo upi mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…