Magical power
JF-Expert Member
- Sep 27, 2022
- 2,158
- 5,626
Binadam mna shida sanaAnatafuta kuzungumziwa huyo maana watu tushamsahau
Hivi yupo nilijua amekufa mpeni hi
Uungwana ni vitendo, amefanya vyema.Ally Kiba Awasili Kariakoo View attachment 3156004@ Wasanii tujifunze kitu kwa huyu mkongwe kwenda kutoa msaada Na siyo Kutupigia Kelele kwenye mitandao😭 Ukiwa kwako Ukiomboleza Chumbani kwako😭 Tufanye Vitendo 😭😭😭
Wewe anakujua nani? Utakufa umuache.Anatafuta kuzungumziwa huyo maana watu tushamsahau
Hivi yupo nilijua amekufa mpeni hi
KabisaUungwana ni vitendo, amefanya vyema.
Kabisa mkuuBinadamu hawana jema hata ufanyeje
Utalii ikiwa zoez linaendelea 🤷🏽♂️Kwanini hawakwenda siku ya kwanza naona wameamua kufanya utalii!
Kwanza wewe si umekamatwa na polisi kisa kuchangisha?Wewe anakujua nani? Utakufa umuache.
Kaenda leo?Ally Kiba Awasili Kariakoo View attachment 3156004@ Wasanii tujifunze kitu kwa huyu mkongwe kwenda kutoa msaada Na siyo Kutupigia Kelele kwenye mitandao😭 Ukiwa kwako Ukiomboleza Chumbani kwako😭 Tufanye Vitendo 😭😭😭
Alitii sheria bila shuruti,ivyo ameachiwaKwanza wewe si umekamatwa na polisi kisa kuchangisha?