Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kupiga pichaAsa hapo katoa msaada gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupiga pichaAsa hapo katoa msaada gani?
Kazi yake kujichekesha tu kama kichaaAnaenda leo siku ya 4 baada ya tukio. Hebu fanya kama unamuuliza ameshaokoa waathirika wangapi mpaka sasa au bado anapiga selfie hapo. Au ameenda kusema huko kuwa tunamshukuru mama?
Konde amesema hakubali kupitwa...Dah kuna watu huwa wanajipa umuhimu usio wa lazima
Bondia alishafunguliwa uzihuyo sio wa kwanza alianza kwenda mwakinyo pia muacknowledge na yeye
Maneno kitu simple.
Chapu chapu au sio?
Nchi hii imekuwa ya watu wa hovyo.Konde amesema hakubali kupitwa...
Yupo njiani anakuja..
Yupo anakula moshi wake moyo USI dunde dunde Tena😂😂Na yule anaeimba
Moshi huoo moshi huooo🎶
Nikiuona moyo unadundaa tenaaa🎶
Yuko wapi?