Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
hahaaaaaaa ungempa makofi matatu kama yale ya Matola
ambayo angempa Nuhu angekua mdogo wake
Awepo wapi........., ye mwisho wake Leaders tu
Kina fulani wakiona hivii wanatamani ardhi ifunike mbingu lakini haiwezekaniii
Hebu nielimishe muziki wa Africa ni upi?
Mpaka sasa mimi nawatambuwa Dr Remmy na Tatunane band ndio wametuwakilisha kwenye matamasha makubwa.
Hapa nahitaji kuelimishwa na siyo ubishani na porojo.
Asanta.
Hebu nielimishe muziki wa Africa ni upi?
Mpaka sasa mimi nawatambuwa Dr Remmy na Tatunane band ndio wametuwakilisha kwenye matamasha makubwa.
Hapa nahitaji kuelimishwa na siyo ubishani na porojo.
Asanta.
unajitahidi kuelezea ila naona una chuki kwa dimond sema unazificha kwenye maneno kwa kumapka mafuta kwa mgongo wa chupa..
unatoa critiscism za kipuuzi kuwa Dimond ameacha shoo za nyumbani za watanzania waliompandisha?? hivi nikuulize unajua p square wapo wapi sasa??? kama hujui basi wanaishi zao atlanta wamehama kabisa nyumbani kwao Nigeria na bado wanafanya kazi nzuri sembuse huyu Dimond ambaye yupo sinza hapo,,,..
Dimond kwa level yake aliyofikia hapaswi kurudi nyuma kung'ang'ania shoo za uchwara kama Fiesta na zingine zenye mtonyo mdogo kwa kigezo cha eti watanzania walimpandisha, ushauri wako umejaa mawazo ya kimaskini...ni lini hapa bongo kuna promoter alimpa dimond hela anazotaka akakataa kupiga shoo?? kama anapiga shoo hadi kwenye birthday ya K Lyn we ulitaka aje akuimbie chumbani kwako mdogomdgo ndo ufurahie.........acha ujinga bwana
Jisifie wajua kupga vyenga wajua kuimba sana but mwisho wa siku who makes more money ndiyo habari maana hakuna anayeimba kufurahisha watu.
Kama hai-make ela basi hai-make sense (Fid Q).
Duuu kazi kweli kweli!
Mashabiki tuna michango sana kwenye kuanguka kwa wasanii wetu!
Huyu jamaa katoa analysis nzuri sana na tusipende sana thread za kusifia wasanii wetu hizi zinazo wakosoa ndizo nzuri na zina jenga zaidi!
Ndio maana kuna watu husema tumepewa masikio mawili na mdomo mmoja ili tusikilize sana kuliko kuongea!
Hii ni moja ya thread nzuri sana hapa zinazo wahusu Alikiba na Diamond!
Diamond na Alikiba kila mtu ana umuhimu wake kwenye huu muziki!
Hii thread ina faa kuwa sticky!
Jamaa ni shabiki tu..read between the lines
Awepo wapi........., ye mwisho wake Leaders tu