Ally Kiba ni Messi, Diamond Ronaldo

kuna uzi ukizisoma huwezi kupita kimyakimya hata kama huna neno basi utalitafuta ili mradi uwepo wako na kuukubali huo uzi uonekane....bab kubwa muanzisha uzi
 
Hebu nielimishe muziki wa Africa ni upi?

Mpaka sasa mimi nawatambuwa Dr Remmy na Tatunane band ndio wametuwakilisha kwenye matamasha makubwa.

Hapa nahitaji kuelimishwa na siyo ubishani na porojo.

Asanta.


ungeenda Basata ungepata elimu unayotafuta.....naona umeanza kubishana na channel O, infact kwenye list huwaoni kina koffi olomide wala awilo kwa sbabu list hii ni kwaajili ya wale wasanii waliobadilisha game ya afrika kutoka ndombolo ya solo(bolingo) kufikia hapo ilipo ndo maana unamuona Fally ipupa cuz yy ameimodernize bolingo..

we shikilia wakina doctor remy wako tu
 
Hebu nielimishe muziki wa Africa ni upi?

Mpaka sasa mimi nawatambuwa Dr Remmy na Tatunane band ndio wametuwakilisha kwenye matamasha makubwa.

Hapa nahitaji kuelimishwa na siyo ubishani na porojo.

Asanta.

Kawaulize channel O
Sisi vitendo tu
 

Duuu kazi kweli kweli!

Mashabiki tuna michango sana kwenye kuanguka kwa wasanii wetu!

Huyu jamaa katoa analysis nzuri sana na tusipende sana thread za kusifia wasanii wetu hizi zinazo wakosoa ndizo nzuri na zina jenga zaidi!

Ndio maana kuna watu husema tumepewa masikio mawili na mdomo mmoja ili tusikilize sana kuliko kuongea!
 
Hii ni moja ya thread nzuri sana hapa zinazo wahusu Alikiba na Diamond!

Diamond na Alikiba kila mtu ana umuhimu wake kwenye huu muziki!

Hii thread ina faa kuwa sticky!
 
Jisifie wajua kupga vyenga wajua kuimba sana but mwisho wa siku who makes more money ndiyo habari maana hakuna anayeimba kufurahisha watu.
Kama hai-make ela basi hai-make sense (Fid Q).

Trust me sio kwamba diamond anatengeneza pesa kihivyo no bali zaidi ni maigizo yake anayotufanyia kujionesha ana pesa, shoo ya ujerumani mnajua alifanya kwa bei gani?? Haikuzid euro 2000, na ukwel ni kwamba amesahau kwamba "wadau wanapenda wakuone jinsi ulivyo yaani uishi Maisha ya uhalisia na sio ya Maigizo" (Fid Q)
 

Jamaa ni shabiki tu..read between the lines
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…